Picha: Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri Mushi mahakamani

Status
Not open for further replies.


DPP si mfuasi wa uamsho?!!!! Hapo kwenye red uongo mtupu!!!!... UAMSHO ni kikundi cha kigaidi... Kinataka kushinikiza MUUNGANO UVUNJWE kwa kuua wakristo!!!!...
 
Kwa huyu umekuwa mpole na kutoa hoja za kushauri vipi unasukumwa na udini?!!!

Kwani ulikuwa hujui huu uzi unamsukumo wa kidini???? Kila anayeanza kumtaja marehemu anaanza na cheo cha dini yake. Kwa mtazamo wa harakaharaka utaona ni kwa vile alikuwa kiongozi wa dini ndo maana watu wamekuwa na sympathy. Kuna watu wengi sana wanauawa lakini haijulikani kwa sababu si waumini ama hawajulikani. Padri Mushi alikuwa mtu maarufu kutokana na dini yake. Hata kama asingekuwa na dini bado anabaki kuwa ni Mtanzania na alikuwa na haki ya kuishi na si kuuawa! Udini upo lakini kwa hili ni utu na hasa ni Utanzania zaidi.
 
Kwa watu wa intellijensia watakuambia kitu kinaitwa criminal psychology. kwa kawaida watuhumiwa wa makosa yakigaidi (yaani crimes zenye push yakiitikadi/imani) huwa hawaonyeshi kujutia makosa yao., infact, huonyesha open contempt for the law enforcers, kwa kawaida, hatakabla yakukamatwa hujaribu kuonyesha kuprovoke authorities hizo., wakati mwingine huamua kufanya crimes halafu wanaacha kitu wanaita signature , yani alama inayo watambulisha., inayo husisha tukio na kundi hilo., this typical of serial killers.wengine walio kubuhu nakujulikana kabisa huamua kutangaza kufanya uhalifu huo kwenye vyombo vya habari., hii ni tabia inayo fanana kwa watu wanamna hii ndiyo psychology yao inavyo fanya kazi.,

sasa ukiangalia hizi picha zote huyu bwana nikama anatabasamu sana., kiasi inaanza kuonekana kama dhihaka flani hivi., hii si ishara nzuri sana kwake.,

narudia tena; silazimishi iwe ni yeye ila ninataka aliye husika AKAMATWE NA AFIKISHWE MAHAKAMANI!
 

Kwa Lwakatare kwakuwa ni mkristo yeye UTU haupo!!!
 

Ni kwanini Anatabasamu hivyo? na alikuwa JELA? Kama nimeonewa kuwekwa JELA kweli Machozi yangekuwa yananibubujika; Au ni vingine? Scary!!!

Nadhani angepigwa picha wakati hatabasamu...
 
Jamani tuangalie sheria ilivyo na tuachane na ushabiki wa kikanda na kiimani, ajabu sio kwa DPP kufanya kazi yake kwa mujibu wa sheria, bali ajabu kubwa ni kwa jeshi la polisi kulazimisha kufanya kazi isio ya kwao
 
Siasa inatafuta ushahidi wa bandia polisi ndio wauwaji ili watimize matakwa ya kisiasa

Inapokuwa mkristo kama LWAKATARE kakamatwa mnapinga kuwa ni mambo ya kisiasa, akikamatwa Mwislamu haraka mnasema ni siasa.
 
Huyu jamaa anajiamini sana... mbali na mchoro unaofanana naye ... baada ya polisi kutangaza dau nono...........hiyo pia imesaidia sana kupatikana kwake
 

Ni kwanini Anatabasamu hivyo? na alikuwa JELA? Kama nimeonewa kuwekwa JELA kweli Machozi yangekuwa yananibubujika; Au ni vingine? Scary!!!
sitamhukumu lakini hawa watu wa ''kabila hii'' ndivyo walivyo. Kuna mmoja kwenye ule mlipuko wa Bali walimtungia jina la ''smiling bomber'' kwa alivyokuwa anatabasamu mahakamani

 
sitamhukumu lakini hawa watu wa ''kabila hii'' ndivyo walivyo. Kuna mmoja kwenye ule mlipuko wa Bali walimtungia jina la ''smiling bomber'' kwa alivyokuwa anatabasamu mahakamani
hao bwana ndio itikadi kali.Kama sikosei huyo jamaa alihukumiwa kifo lakini alitoka mahakamani hivyohivyo anacheka.
 
Kwa Lwakatare kwakuwa ni mkristo yeye UTU haupo!!!

Nilimaanisha hivi, kifo cha Padri Mushi hatuwezi kukishabikia (kukifurahia) ingawa udini upo. Tunakizungumzia ki utu zaidi na hasa ni mtanzania mwenzetu.
Muwe mnaelewa kwa kuhakikisha mnasoma vema na kuelewa logic. Ndo maana nchi hii inaongoza kwa matokeo mabovu ya form four kwa sababu wanafunzi huwa hawaelewi instructions. Kama wewe umeshindwa kunielewa namaanisha nini (ukafananisha tukio la kifo cha Padri Mushi na Rwakatare) seuze wanafunzi wa Seminari wanaosubiri pepa i-leak?. Umeshindwa kuelewa mimi nimeguswa na kifo cha Padri Mushi (na namchukia Muuaji) wewe umefananisha na kesi ya Rwakatare!!! Kwani Rwakatare naye ameuawa?
 
hao bwana ndio itikadi kali.Kama sikosei huyo jamaa alihukumiwa kifo lakini alitoka mahakamani hivyohivyo anacheka.

Mmetoka nje ya mada...... Ingekuwa vizuri mkajadili teknolojia ya picha ya kuchora.
Mimi HUWA siikubali sana teknolojia hii...... Uwezekano wa kufananishiwa mtuhumiwa ambaye si muhusika ni mkubwa sana maana picha inachorwa kwa kuuliza watu wlioshuhudia. Labda kama kungekuwa na mtambo unaoweza kuu-swap kwenye eneo la tukio kisha wenyewe ndo unatengeneza picha hapo ingekuwa afadhali kidogo. Mfano, teknolojia ya kuchukua picha ya macho ya mtu aliyekufa mimi naikubali sana maana macho ni sawa na kamera.

Ila pamoja na yote, teknolojia ninayoikubali kwa aslimia 100 ni CCTV!!!
 
kwakua sheria ya ugaidi inatambua ndevu kama ishara ya ugaidi, huyu
jamaa kwa mujibu wa hiyo sheria tayari ni gaidi, watuhumiwa wote wa ugaidi ambao wamewahi kukamatwa na kufikishwa mahakamani duniani kote huwa wanatabasamu na hii ni kwa sababu huwa hawajutii waliyafanya, kama mnavyoona picha ya hujamaa anavyotabasamu. lkn kuhusu mauaji ya padri tuaichie mahakama ifanye kazi yake ukweli utajulikana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…