Picha: Muonekano mpya wa Chid Benz baada ya kutoka Sober house

Ni kweli bado hayuko vizuri lakini pia kama ni wakujifunza atakua kapata fundisho
 
Asikudanganye mtu The Chid Benz ni msanii mkali sana.

Wenye kuona mbali huyu jamaa kweli akiacha unga akirudi katika ubora wake ni hatari sana kwa mashairi yake, flow yake ni full mzuka.

Love familiiia ILalaaa
Mwasitiiiiy.....Hakuna binadamu aliyemkamilifu tuzidi kumwombea na pia tusimnyime support.
 
Nimesoma comment zote nimegundua watu hawana imani na Chid beenz na hawaamini kama kaacha!

Nafikiri muda huongea na tena pale atakapo anza kupata show na hasa atakapo kuwa ana kwenda peke yake kwenye show! Mimi naamini matumizi ya madawa yana mhuhitaji muhusika zaidi kufanya maamuzi ya kuacha!

Nawashukuru wanao msaidia na wanao jaribu kumuamini maana hiyo ndio njia pekee pia ya kumsaidia! Kama atahamua kurudi alipotoka ni maamuzi yake lakini at least watu wameweka mikono ya kumsaidia!

Allah amsaidie sana si rahisi lakini kama kahamua basi mtihani huu ni mdogo kwake ameushinda!

Kila la kheri!
 
Reactions: ora
Chid anahitaji muda zaidi maana ngada inataka utayari wa mtumiaji kwanza kuamua kuacha hii midude,niwapongeze wanaomsaidia ila wawe na subira naona wanawahi kumtumia ki-biashara mapema sana kabla hajapotea kwenye masikio yetu ni mtazamo tu.
 
jaman siamin kama Rashidi amerudi katika sura yake, yaani alikongoroka ghafla lol
 
Chid anahitaji muda zaidi maana ngada inataka utayari wa mtumiaji kwanza kuamua kuacha hii midude,niwapongeze wanaomsaidia ila wawe na subira naona wanawahi kumtumia ki-biashara mapema sana kabla hajapotea kwenye masikio yetu ni mtazamo tu.
Tatizo si ngada. Tatizo sembe...
 
Si nliskia katoroka huko baada ya jamaa zake kuacha kwenda kumuona na kumpelekea mahitaji kama walivyokubaliana na kudai kuwa ametelekezwa...?

Kwani dozi ya madawa huchukua muda gani mpaka sumu kutoka mwilini kwa mtu kama Rashid...?
Kiwango cha chini ni miaka miwili napo inategemea na bidii na utayari wa mtu kuachana nayo.
 
Mbonq hata eminem alitumia na ameacha chid yuko fit poleni coz naona kama mnajua kesho hv
 
dah unga mbaya, yaani naona kabisa yupo tofauti na mwanzoni, mwenzake huyo wamembeba jana ajichunge naye bahati haiji mara mbili
 
Kwa nini hakamatwi akashtakiwe kwa kutumia sembe?
 
Kwani ulikuwa haujui kama ngada inapoteza ata uwezo wa kufikiria?!akili imeshalala yule,ndio mwisho wake kisanii..labda angeendelea kupata dozi for six months.
 
Matarajio yangu ni kuwa amejifunza na hatarudia ujinga wake tena. Huwa hawajitambui na hawaaminiki hawa wau. Anyways, am wishing him success....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…