Picha: Muonekano mpya wa Diamond Platnumz

kwema binamu naona diva leo kawekwa kingaangoni

East Africa au? Na anavyopenda kujiongeza yule, naona kule insta habar ya mujini ni kiba na ndomo mmh Kiba anatimua vumbi balaa ndomo ajipange
 
Utanyoa mpaka mavuza..kiba tishio la jiji na analifahamu Hilo.The Return of the KING....concert linakuja kwa Jina hilo..
 
Akitoa video mbaya Aly k ataishia hivyo hivyooo, huu muda wake Daimond bana

Hata Diamond anajua kwa Kiba hagus , wakina lulu,wolper,diva na mastaa kibao wanampa promo ya kutosha kule Insta , in short kuna wat wanatak kumfufua alikiba na wamejipanga vibay ndomo alie tu
 
Mwache apige pige picha tu Kiba keshamaliza kazi
Baada ya wiki kadhaa nyota inageka kwa kiba Domo muda wake umeisha

mi domo ananikera!" ............ ila kiuhalisia Kiba ni mavi tu kw Domo. mnapoteza muda tu hapa kumpiga promo kiba.
 
Kiba mtoto wa kariakoo ....mwanaDar es salaam..habari ya mujini
 
Yaan mtu akifanikiwa watu wanaeka chuki za wazi ....... ye kiba si atoke tu kwani kuna haja gani ya kumtisha diamond mashabiki ndo watajua nani ni nani

sasa nawewe kwa akili yako kuna mtu katishiwa hapo au wamepanic na mashabiki wanavyo ongelea kuhusu mziki mzuri, acha ulimbukeni bana...
 
hii nchi ukitengeneza pesa inakuwa adui. Ukiwa maskini maneno kibao....
nyie kalieni chuki tu watu wanasonga mbele
kazi kweli kweli ..R Kelly anamjua ...auto tune ya kuzaliwa (adam mchomvu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…