Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Unawaza ngono tu.Yupo yule aliyebaka kuku akaambiwa amuoe
Kuna watu wameficha matrilion China na Madagasca sijui Australia
Mimi nataka nikuoe wewe..Yupo yule aliyebaka kuku akaambiwa amuoe
Viongozi wa ccm haoDigestion itafanya kazi kwa manyo
Kuna watu wameficha matrilion China na Madagasca sijui Australia
Waapi! Yatatoka kama yalivyoingia.Digestion itafanya kazi kwa manyoya kweli
BInadamu keshaisha, wamebakia wanyamaKwani hapo hakuna kituo cha police?,hii sio Sawa kujichukulia sheria mkononi, silaumu maana nchi Ina traffic officer's mara mbili kuliko police wa kawaida, na good news our special police unit FFU, wameshinda tuzo ya SWAT pale UAE,tumekua wa kwanza Africa, tukiishinda SA na Kenya!!
ππ π€£πWaapi! Yatatoka kama yalivyoingia.
Hata baada ya kumlazimisha kumla huyo kuku, akimaliza wataanza kumpiga π«πBInadamu keshaisha, wamebakia wanyama
Ndo maana ni hatari sana kwa uongozi kutozingatia utawala wa sheria kwani athari zake ni pamoja na kuwa na jamii inayojichukulia sheria mkononiHata baada ya kumlazimisha kumla huyo kuku, akimaliza wataanza kumpiga π«π
Kabisa mkuu, Kama viongozi wanashindwa kupaza sauti juu ya utawala wa Sheria unadhani tutafika kweli?Ndo maana ni hatari sana kwa uongozi kutozingatia utawala wa sheria kwani athari zake ni pamoja na kuwa na jamii inayojichukulia sheria mkononi
Tatizo ninaloliona hapa ni 1. Wale wanaosimamia utawala wa sheria ni wazembe e.g. Huyo mwizi wa kuku akipelekwa Kituoni, kesho utamwona anatanua mtaani na kutishia wale waliompeleka hapoKabisa mkuu, Kama viongozi wanashindwa kupaza sauti juu ya utawala wa Sheria unadhani tutafika kweli?