R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,575
Wiki mbili zimepita tangu afariki, alikuwa staa wa movie za Nigeria, Muna Obiekwe ambapo sababu ya kifo chake imetajwa kuwa ni tatizo la figo ambapo hakuhitaji kuchangiwa chochote ili akapatiwe matibabu.
Mipango yake ilikuwa afanye event ili kile atakachokipata akafanye matibabu. Mastaa mbalimbali, ndugu, jamaa na marafiki walikutana jana katika Jimbo la Anambra, Nigeria kufanya mazishi ya staa huyo jana February 3.
Mipango yake ilikuwa afanye event ili kile atakachokipata akafanye matibabu. Mastaa mbalimbali, ndugu, jamaa na marafiki walikutana jana katika Jimbo la Anambra, Nigeria kufanya mazishi ya staa huyo jana February 3.