kweli kabisa afu anafanana na ney sema keupe
ila huyo skaina mwehu mtoto miaka miwli akalelewe na mama mlezi tena upo hai safe and sound?!!
Na demu nae mwanzo alikuwa anaona aibu kutangaza kuwa kazaa na ney, ila ney alivyojenga nyumba ya mil 700 na kununua gari la kifahar la mil 300 demu ndo kajiongeza sasa na kujitangaza kuwa kazaa na ney, ila katoto kazur aiseeh
Wanaishiwa kuchezwa mbele n nyuma, wanaolewa wengine, wanadhan umalaya unawatajirisha wakat hakuna ata msanii mmoja bongo aliyetajirika kwa umalaya, halaf hata hili hawalion
NImeongeza sifur, si unajua tena chunvi ndugu yangu, nimewasaidia kuongeza sifur kama wanavyofanyaga
Hivi huyo 'Ney wa mitego' huwa ana kazi gani kweli?
Mmh demu mkali kama wewe unaenda kuzaa na mvuta bangi ney wa mitego, kweli mastaa wa bongo hamjitambui
Na demu nae mwanzo alikuwa anaona aibu kutangaza kuwa kazaa na ney, ila ney alivyojenga nyumba ya mil 700 na kununua gari la kifahar la mil 300 demu ndo kajiongeza sasa na kujitangaza kuwa kazaa na ney, ila katoto kazur aiseeh
Na demu nae mwanzo alikuwa anaona aibu kutangaza kuwa kazaa na ney, ila ney alivyojenga nyumba ya mil 700 na kununua gari la kifahar la mil 300 demu ndo kajiongeza sasa na kujitangaza kuwa kazaa na ney, ila katoto kazur aiseeh
Wote wanaishi nyumba za kupanga hawana jipya
We skaina hebu lea mwanao wewe mwenyewe mtoto mdogo sana huyo kha ! unataka Ubaya tu kwa siwema na yeye anawakwake anakuja , kitokacho tumboni cha moto Bibi wewe shauri yako !Lea mwanao :angry:
Mwenzio mjanja kashaona jumba lile kaanza kupunguza mizigo taratibu, kamtanguliza mtoto, baadae yeye anafuata, hapa ndo bongo daslamu
Mmh demu mkali kama wewe unaenda kuzaa na mvuta bangi ney wa mitego, kweli mastaa wa bongo hamjitambui
Mmh demu mkali kama wewe unaenda kuzaa na mvuta bangi ney wa mitego, kweli mastaa wa bongo hamjitambui