Picha:Ngassa,Msuva na Niyonzima wapewa tuzo Yanga Sc!!!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
1.Ngassa-Mchezaji bora.
2.Msuva-Mfungaji bora wa klabu.
3.Niyonzima-Mchezaji bora wa kigeni.
Wenye wivu wajinyonge.
 

Attachments

  • 3.jpg
    118.3 KB · Views: 879
  • 2.jpg
    42 KB · Views: 718
  • 1.jpg
    36 KB · Views: 612
Umesahau!
Msuva kula Yanga kulala Simba. Acha kijana aendelee kujiimarisha kabla hajarudi HOME. Ngoja kea sasa awachune chune.
 
Wakati simba tukijiandaa kuwapa wachezaji wetu zawadi za magari,yanga wao wameamua kuwapoza wachezaji wao,kwa vinyago vya miti vinavyo chongwa pale mwenge,na bendela zenye rangi rangi kama zawadi..ama kweli..wajinga..ndio..wa..liwaooooooo..!!
 
wakati simba tukijiandaa kuwapa wachezaji wetu zawadi za magari,yanga wao wameamua kuwapoza wachezaji wao,kwa vinyago vya miti vinavyo chongwa pale mwenge,na bendela zenye rangi rangi kama zawadi..ama kweli..wajinga..ndio..wa..liwaooooooo..!!

haaaaa!
Unakumbuka yale magari kia ya mwaka ule mliompiga mwinyi na viti uwanja wa uhuru(taifa)?
Hivi ilikuaje?
 
Waliisha panga na ratiba kombe likitoka uwanja wa taifa litapita hapa kisha litaenda hapa na mwisho litapokelewa klabuni duh yule bolizozo akafanya yake
 
Waliisha panga na ratiba kombe likitoka uwanja wa taifa litapita hapa kisha litaenda hapa na mwisho litapokelewa klabuni duh yule bolizozo akafanya yake

James Tungalaza(RIP) naye alifanya yake ilibidi tu aitwe 'Bolizozo'.Kipindi hicho bia tamu ilikuwa inaitwa Stella A . . . . .
 
Sangomwile yule rashidi abdallah aligeuzwa kama chapati bolizozo alikuwa balaa.
 
James Tungalaza(RIP) naye alifanya yake ilibidi tu aitwe 'Bolizozo'.Kipindi hicho bia tamu ilikuwa inaitwa Stella A . . . . .

Haaa haaa,wapi James Tungaraza ''Bolizozo'',wapi Stella Artour Abdjan wapi Azim Dewji,teh teh teh. Nikikumbuka wangese wakina Dewji walivyouza ile match na kumhadaa Mwinyi akatimba Taifa,sina hamu na Soka la Bongo.
 
Wakati simba tukijiandaa kuwapa wachezaji wetu zawadi za magari,yanga wao wameamua kuwapoza wachezaji wao,kwa vinyago vya miti vinavyo chongwa pale mwenge,na bendela zenye rangi rangi kama zawadi..ama kweli..wajinga..ndio..wa..liwaooooooo..!!

wamekosa hela za kulipa wachezaji mishahara,watapata za kununulia magari.
 
wamekosa hela za kulipa wachezaji mishahara,watapata za kununulia magari.

Magari gani mkuu wakati hela ya usajili tu shida hadi mchezaji anakimbia. Kusikia Yanga watamchukua ndio wamechangishana ili mchezaji arudi.
Yale ya Dewji CAF walipewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…