ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa wakulima wa mahindi ,Je Kuna mtu anaweza tuambia aina ya mbegu inayozaa Watoto wengi Kiasi hiki au ni Photoshop?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika? Inapatikana wapi? Ni mbegu ya Tanzania au Nje? Na Je sifa zake za kustawi zikoje?Dk 9089
Mdomoni Kwa kuona picha kinalipa ila kwenye uhalisia Sasa ndio Utajua hujui.Kilimo Kinalipa Sana
Kuzaa mengi unataka mahindi yawe mangapi mkuu?Kwa wakulima wa mahindi ,Je Kuna mtu anaweza tuambia aina ya mbegu inayozaa Watoto wengi Kiasi hiki au ni Photoshop?View attachment 2794669
Mimi sijui ndio maana naulizaKuzaa mengi unataka mahindi yawe mangapi mkuu?
Mimi sijui ndio maana nauliza
Katika mahindi tunaangalia mbegu yenye uvumilivu wa changamoto na ukinzani wa magonjwa kisha kuzaa sana mwisho gunzi linakuwa na ukubwa au urefu na punje nyingi.Mimi sijui ndio maana nauliza
Kwa kweli. Msimu wa tano huu nimejikita katika kilimo, bado nachechemea. Ninapata hasara kabisa, ila ni kwamba sijakata tamaa.Mdomoni Kwa kuona picha kinalipa ila kwenye uhalisia Sasa ndio Utajua hujui.
Tatizo ni nini Hadi upate hasara? Uko Mkoa gani?Kwa kweli. Msimu wa tano huu nimejikita katika kilimo, bado nachechemea. Ninapata hasara kabisa, ila ni kwamba sijakata tamaa.
Kilimo kinacholipa na cha uhakika, labda ni kile cha umwagiliaji. Ila hiki cha kutegemea mvua..sijui. Ngoja tuendelee kujitafuta.
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Shida kubwa kwa mtazamo wangu ni hali ya hewa na Menejimenti. Usimamizi ulikuwa hafifu sana. Muda mwingi nautumia kibaruani kwa Mhindi. Napumzika jumanne na jumatano tu. Nafanyia kazi mjini. Shamba ni kilomita 70 kutoka ninapoishi.Tatizo ni nini Hadi upate hasara? Uko Mkoa gani?