Pre GE2025 Picha: Ni lini Davina wa Bongo Muvi atajifunza kuwa hana mvuto wa kuwa Mbunge? Hii michango anayotoa ni kujichoresha!

Pre GE2025 Picha: Ni lini Davina wa Bongo Muvi atajifunza kuwa hana mvuto wa kuwa Mbunge? Hii michango anayotoa ni kujichoresha!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi kwanini hawa celebrities hudhani kuwa just because wao ni maarufu basi automatically wanakuwa na mvuto wa kisiasa?

Kuna huyu mmoja anajiita Davina (kwa wale waangaliaji sugu wa Bongo Movie wanamjua) mwaka 2021 aligombania viti maalum, huko CCM Iringa wakampiga chini.

This time uchaguzi umekaribia ameanza kutoa misaada huko Iringa Mafinga ili kujitengenezea nafasi nzuri zaidi kuelekea Uchaguzi.


Tutaona mengi kuelekea Uchaguzi Mkuu


IMG_0501.jpeg
 
Wakuu,

Hivi kwanini hawa celebrities hudhani kuwa just because wao ni maarufu basi automatically wanakuwa na mvuto wa kisiasa?

Kuna huyu mmoja anajiita Davina (kwa wale waangaliaji sugu wa Bongo Movie wanamjua) mwaka 2021 aligombania viti maalum, huko CCM Iringa wakampiga chini.

This time uchaguzi umekaribia ameanza kutoa misaada huko Iringa Mafinga ili kujitengenezea nafasi nzuri zaidi kuelekea Uchaguzi.


Tutaona mengi kuelekea Uchaguzi Mkuu


View attachment 3237229
Huyu demu nilikua nampendaga sana, kimapenzi yaan. Kama kashaingia kwenye siasa basi wacha ni withdraw tu intention yangu. Maana huko Kwa yeye kutoboa ni lazima agawe nainiliu
 
Namuombea kwa MUNGU na KRISTO YESU

MUNGU amsaidie sana afanikiwe

EE MWENYEZI MUNGU fahari ya yakobo usiyekataa maombi ya watu wako, pokea ombi langu dada huyu atimize ndoto zake

AMINA
 
Wakuu,

Hivi kwanini hawa celebrities hudhani kuwa just because wao ni maarufu basi automatically wanakuwa na mvuto wa kisiasa?

Kuna huyu mmoja anajiita Davina (kwa wale waangaliaji sugu wa Bongo Movie wanamjua) mwaka 2021 aligombania viti maalum, huko CCM Iringa wakampiga chini.

This time uchaguzi umekaribia ameanza kutoa misaada huko Iringa Mafinga ili kujitengenezea nafasi nzuri zaidi kuelekea Uchaguzi.


Tutaona mengi kuelekea Uchaguzi Mkuu


View attachment 3237229
Kwa haraka haraka tu nimeona ana mvuto
 
Umasikini unapotumika kama Daraja la kuwa kiongozi, mbaya zaidi mhusika hatafuti huo uongozi ili kuboresha maisha ya hao masikini bali lengo ni kuingia kwenye circle ya wanyonyaji dhidi ya huyu huyu mnyonge.
 
Uongozi hauangalii tena akili na uwezo wa kutatua shida za watu Bali unaangalia zaidi connection, mifumo yooote imeparylize bahati hat vetting zinaangalia historia yako kwenye ukosoaji hasa kwenye magroup nk.

Mataifa yanayojielewa yamejikita kuwekeza kwenye akili za watu Kwa manufaa ya Mataifa yao ili jamii zao zisonge mbele huku tumewekeza na nguvu za kushindania vyeo matokeo yake tuko busy kufanya yale yenye faida kisasa na sio faida kwenye jamii.
 
Acha wivu wako hapa wewe. Uongozi unatoka kwa Mungu. Kama Mungu kampangia kuwa kiongozi ni lazima itatimia tu na wewe kama mwanadamu huwezi kumzuia.

Mtu anachangia vitu vitakavyosaidia watu wengi. halafu wewe unaanza wivu wako hapa. Kweli kuna watu mnatembea kama binadamu lakini kiuhalisia Ninyi ni mashetani wakubwa.
 
Acha wivu wako hapa wewe. Uongozi unatoka kwa Mungu. Kama Mungu kampangia kuwa kiongozi ni lazima itatimia tu na wewe kama mwanadamu huwezi kumzuia.

Mtu anachangia vitu vitakavyosaidia watu wengi. halafu wewe unaanza wivu wako hapa. Kweli kuna watu mnatembea kama binadamu lakini kiuhalisia Ninyi ni mashetani wakubwa.
Leo nakuunga mkono chawa, unajitoaga tu akili kumbe zimo...upunguze uchawa sasa.
 
Wakuu,

Hivi kwanini hawa celebrities hudhani kuwa just because wao ni maarufu basi automatically wanakuwa na mvuto wa kisiasa?

Kuna huyu mmoja anajiita Davina (kwa wale waangaliaji sugu wa Bongo Movie wanamjua) mwaka 2021 aligombania viti maalum, huko CCM Iringa wakampiga chini.

This time uchaguzi umekaribia ameanza kutoa misaada huko Iringa Mafinga ili kujitengenezea nafasi nzuri zaidi kuelekea Uchaguzi.


Tutaona mengi kuelekea Uchaguzi Mkuu


View attachment 3237229
Siku hizi hakuna uchaguzi, na wala kigezo sikuwa na mvuto au uwezo wa kisiasa, bali ni kwa kiwango unaonyesha uchawa wako. Uchaguzi ni kiinimacho tu.
 
Bunge mnataka kujaza waubongo movie

Ova
 
Kwani tofauti yake na waliopo huko Bungeni ni nini?Kama vigezo ni kutoa misaada mwacheni naye ajaribu bahati yake.
 
Tatizo liko wapi kwani. Si anajua kusoma na kuandika?
 
Mtoto wa magomeni huyo plus jitegemee lazima aachukue jimbo si.ndio huyu.walsingizia kazaa na polepole.

Kaanza kuitafuta cross enzi mwenezi polepole ya ubunge. Anatosha kabisa maana ccm hawaangaliagi hata kenya.wabunge wenye cv.za maana wao wanabeba machawa tuu
 
Wakuu,

Hivi kwanini hawa celebrities hudhani kuwa just because wao ni maarufu basi automatically wanakuwa na mvuto wa kisiasa?

Kuna huyu mmoja anajiita Davina (kwa wale waangaliaji sugu wa Bongo Movie wanamjua) mwaka 2021 aligombania viti maalum, huko CCM Iringa wakampiga chini.

This time uchaguzi umekaribia ameanza kutoa misaada huko Iringa Mafinga ili kujitengenezea nafasi nzuri zaidi kuelekea Uchaguzi.


Tutaona mengi kuelekea Uchaguzi Mkuu


View attachment 3237229
Atafilisika kabla hata ya uteuzi.
 
Huenda akapata ila kwa Sasa siasa zimekuwa localized
Kama anatoka dar akashinde iringa yanaweza kumkuta ya masanja na ubunge wa ludewa
 
Back
Top Bottom