Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Kwanza nikili kuwa Kila mtu ana Tunda/chakula chake anachokipenda au anatamani ale Kila siku.
Ni vyema Kila mtu ataje ikiwezekana kwa picha Aina ya chakula/Tunda hilo
Halafu tutakuambia Lina faida gani kwenye mwili wako.
Kariba.
Tunda hili ni staferi pamoja na Topetope.
Faida zake
Papai Lina faida nyingi Sana. Mimi huwa nalitumia kwenye issue za kulainisha Choo.
Mambo ni mengi utauliza kwenye comment utajibiwa....
Ni vyema Kila mtu ataje ikiwezekana kwa picha Aina ya chakula/Tunda hilo
Halafu tutakuambia Lina faida gani kwenye mwili wako.
Kariba.
Tunda hili ni staferi pamoja na Topetope.
Faida zake
Papai Lina faida nyingi Sana. Mimi huwa nalitumia kwenye issue za kulainisha Choo.
Mambo ni mengi utauliza kwenye comment utajibiwa....