GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Uongozi wa Simba SC ninasema tena leo Kwenu kwa mara ya Pili tafadhali achaneni na Onana hafai kuwa Simba SC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE nikisema Kitu jua kwa 100% nipo sawa sawa. Onana hakuna Mchezaji na hana Hadhi ya Kuichezea Simba SC.Mbona huyu ni mchezaji mzuri sana..tatizo sisi washabiki wa Simba sc ni wepesi sana kumuhukumu mchezaji..anapaswa aminiwe tu ila mchezaji mzuri sana ..fikiri wale wachezaji tunaowaponda wenzetu ndio wanawachukua tena kwa mwembwe..washabiki wasimba wangi ni much know na wajuaji sana