Mbona huyu ni mchezaji mzuri sana..tatizo sisi washabiki wa Simba sc ni wepesi sana kumuhukumu mchezaji..anapaswa aminiwe tu ila mchezaji mzuri sana ..fikiri wale wachezaji tunaowaponda wenzetu ndio wanawachukua tena kwa mwembwe..washabiki wasimba wangi ni much know na wajuaji sana