Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Nadhani hilo ndo lilikuwa lengo lake mtoa madanamuona na mwenyekiti hapo wakati wafuasi wake wakilia lia humu mitandaoni yeye anarefresh mind maeneo.
Wanaolialia ni vijana wa CCMnamuona na mwenyekiti hapo wakati wafuasi wake wakilia lia humu mitandaoni yeye anarefresh mind maeneo.
Mwenyekiti Bila Ya Kiti Hana Maananamuona na mwenyekiti hapo wakati wafuasi wake wakilia lia humu mitandaoni yeye anarefresh mind maeneo.
Ah wapi, ukirudi nyumbani taabu iko pale pale. Hapo ni kujisahaulisha kwa muda tu.Grease Ipo Naona Vimelegea Sasa
Kuleni Mkumbuke Uchaguzi Wa Serikali Ya Mitaa
Ukirudi Home Unajilaumu SanaAh wapi, ukirudi nyumbani taabu iko pale pale. Hapo ni kujisahaulisha kwa muda tu.
Jf tu ndo mnatishanàa ila mtaani hali iko shwari kabisaUkienda sehemu za bata hadi viwanja vya kawaida kabisa, utakuta watu wanaponda mali mpaka unajiuliza hivi kweli JIWE KUU LA PEMBENI kabana au story za mitandaoni tu.