huyu jamaa kapata bahati ya mtende kumpata zari na kutulia.....Mi huwa napenda kila msanii afanikiwe , ilitakiwa wasanii wengi wa bongo wawe wana nyumba zao, domo ni kujituma kwake tuu kunamfanya apate hivo vitu.
Inatakiwa pia wasanii wengine wajifunze pamoja na sheria zetu za sanaa kuwa mbovu, mtu uki hustle inalipa, sasa mtu ana pata hela anaishia kula ngada tuu, na madem yaani hapo unakuta ka hit wimbo mmoja tuu.
Ila diamond na familia yake anaijali jamani,sasa amjengee na mama yake marekani eti,
Ivan alikua na bado kapanga south na toka michongo yake igundulike umeshaisikia Tena rich gang ikitamba? Sasa Salome katajwa team mavi mmekodoa kodoKwa hiyo diamond anamaanisha kuwa ivan hana nyumba na pale ile nyumba zari alikua kapanga tu kumbe hehehe katupa siri tulikua hatuijui,,,yaan ivana na mapesa yote yale hana nyumba kweli kua na nyumba ni kipaji[emoji23]mi nasubiri mapigo ya ivana nyumba atakayodondosha np (natabiri tu)
Maigizo kama ya ccm [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] endelea kusugua gaga wenzio wanapaa [emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] NA siku hizi baba jesca anawatumbua heeee wenzako lumumba pale uhuru Media wamemwagwa ... Bado nyie wa buku saba hata jero hamtapataMaigizo ya wasanii wetu
Ehee.! hebu nihabarishe ndugu Ivana anafanya michongo Gani mana wengine hatumfatiliagi sana yule jamaaIvan alikua na bado kapanga south na toka michongo yake igundulike umeshaisikia Tena rich gang ikitamba? Sasa Salome katajwa team mavi mmekodoa kodo
Mbwembwe ukiwa huna ni upumbav ukiwa unacho ni akili ya hali ya juuLeka tugitige sijui ndo kwenu, hizo mbwembwe muulize! Le muutuz
Kumbe ilo dongo ni kwa hao washamba wa Uganda?Ivan alikua na bado kapanga south na toka michongo yake igundulike umeshaisikia Tena rich gang ikitamba? Sasa Salome katajwa team mavi mmekodoa kodo
Zari ni malkia,tangu lini malkia akazaa kitoto kimojaIla hapo kalenga wanae waishi vizuri,,na hivi zari anazaa atazaa anunuliwe nyingine Marekani,,naona vyumba vingi maana watoto wengii
Nasubiri majibu kwa ivan nyumba ya wanae mpya
Acha kutudanganya,kawadanganye huko Nanjilinji...bainisha hilo kwa kutoa data ili tukujibu kwa data pia!!Bei ya nyumba Afrika Kusini ni ndogo kuliko Tanzania. Nyumba nzuri ambazo zinauzwa ziko nyingi sana kuliko Tanzania
Usimsubirie Ivan, msubirie King Lawrence manake ndie anapelekwa mbele! Ila dah, sijui kwanini nimejisikia vibaya! Najisikia vibaya kv sitaki kuamini kwamba watoto wa Ivan na ile lifestyle waliyozoeshwa halafu wasiwe na nyumba. Nadhani hili dongo ni maalumu kwa King Lawrence... Hivi ushawahi kuona King Lawrence akionesha nyumba zaidi ya kila picha kuonesha akiwa Hotelini kama baby Tunda!Kwa hiyo diamond anamaanisha kuwa ivan hana nyumba na pale ile nyumba zari alikua kapanga tu kumbe hehehe katupa siri tulikua hatuijui,,,yaan ivana na mapesa yote yale hana nyumba kweli kua na nyumba ni kipaji[emoji23]mi nasubiri mapigo ya ivana nyumba atakayodondosha np (natabiri tu)
Conclusion yako sio sahihi hata kidogo manake umeacha kuzingatia vigezo vingi! Kwa mfano, there's no way nyumba yenye sifa zile zile; iliyopo Masaki Dar es salaam itakuwa very expensive kuliko iliyopo Westcliff, Johannesburg; sio kweli!!Bei ya nyumba Afrika Kusini ni ndogo kuliko Tanzania. Nyumba nzuri ambazo zinauzwa ziko nyingi sana kuliko Tanzania
Mbona kama ume-panic jomba?! Kwanini unataka ioneshwe ya baba ake na sio ya mama ake?! Au kwanini wewe usioneshe anayoishi huyo babake?!upumbavu tu alafu watu wanasifia humu atupie pch ya nyumba anayoishi baba yake au ndokalumanzila wale wadunia wamemwambia ampotezee mdingi ili mambo yaendelee kuwa mswano