mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Hata yeye kwao Pwani ya ziwa Tanganyika. Hakuna mbaya.Huyu jamaa simuelewi kabisa, Mbona mabosi wake karibu wote wana asili ya pwani?![emoji848]
hivi bado yupo active kwenye mziki?Amna msanii anaetengeneza pesa kama Dimpoz kwa sasa ni vile tu hapendi show off kama wengne
Wewe unae wajua hao Waasia umefanya nao biashara gani?Wewe ndio huwajui matajiri...tena hawa wenye asili ya asia ndo kabisaa ...hawanaga urafiki na chokambaya hata awe muasia mwenzao sembuse mbongo? Unless useme huyo ommy ni mfanyabiashara mwenzao
Unataka kusemaje ww mzee 😁😁Huyu jamaa simuelewi kabisa, Mbona mabosi wake karibu wote wana asili ya pwani?!🤔
Wasikilize Clouds Plus.
Shida iko wapi?kwani watu wa pwani hawafanyi biashara?acha fikra mfuHuyu jamaa simuelewi kabisa, Mbona mabosi wake karibu wote wana asili ya pwani?![emoji848]
Akikujibu naomba nitag Mkuu.Wewe unae wajua hao Waasia umefanya nao biashara gani?
Wewe saizi yako bazee, hizo gucci mwachie OmmyWenzie wote wamevaa mashati, yeye kavaa kibrauzi, hawa watu wa Kigoma bora tuwagawe kwa Burundi tu.
Range yenyewe alinyanganywa Huddah akapewa yeye.Acheni wivu, Omary Nyembo ana Range matata huyu
Wanadai eti ni kisamvu cha kopoOmmy watu Wana mchukulia poa Sana Ila huyu mwana kwa badae mtakuja mumsingizie anauza ngada,
Save hii.
Wewe mama mbona kama unamkandia sana jamaaRange yenyewe alinyanganywa Huddah akapewa yeye.
Muambie huyo, atayajuaje haya sasa lol [emoji23][emoji23][emoji23]Range yenyewe alinyanganywa Huddah akapewa yeye.
Ndo mnavojidanganya hivyoooh huko vijiweni? Msingi kiuno duniani hapa lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marketing manager wa GSM juzi kakabidhiwa ofisi matata,,Kampuni ya nguo S.Africa juzi nao walimpa dili ,Sony pia na michongo kibao sana pia anapika Album matata kwa sasa ndio maana yupo kimya na biashara nyngne anamigahawa 3 kenya na pia pesa anazo tangia kitambo miaka ya 2010 kuna kesi iliibuka msanii mwenzake anamuibia baadhi ya vifaa vya gari Ommy ktk wasanii wanaopiga pesa kwasasa top 5 utamkuta
Simkandii Bro..Wewe mama mbona kama unamkandia sana jamaa