Picha: Ommy Dimpoz na maboss zake

Ndo mnavojidanganya hivyoooh huko vijiweni? Msingi kiuno duniani hapa lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi mnachuki/husda binafsi yaani mtu ukiwa hendsam aafu unakubalika/Ukatoboa kuna mawili aidha uambiwe bwabwa au Mpiga dili kweli "Maneno ya watu sumu" izi mambo uwa aziishi mlianza kwa B12 mara Majzo mara Dimpoz mara uyu mara yule kuna ambao wanafanya kama Juma***ata ukiambiwa ukatai ila awa wengne ni wivu tu MI5 TENA OMARY JUMA NYEMBO
 
Simkandii Bro..
Naandika ninachokijua.. Ommy ni moja ya Msanii anayefanya vizuri. Ila..... Ila.....

Hiyo Issue ya Range mbona inajulikana.
Kuna dada mmoja anaishi mombasa aliniambia kuwa watu wa mombasa wanamfaham huyo hojo kwa kufumua marinda akaniambia kuwa kibakuli na huyo pichani wote washafumuliwa mitaro, hata mmowapo akaozeshwa mke ambaye hojo alianza fumua toka utotoni na kimesoma na kukulia kwa hojo.
 
Halafu Joho sijui ana nini..
Akimpa Mwanamke gari Mapenzi yakiisha lazima anyanganywe..

Betty Kyallo naye alinyanganywa gari Mombasa Road Mchana kweupe.. Hadi leo Betty hataki kusikia habari za Joho.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenifanya nikamsaminishe huyo Betty huko insta ni pisi kali kiasi chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…