Picha: Riyama anaswa "LIVE"

Kwanini mumseme mbaya kwani hamuwaoni wengine tena za ya Riyama
 
Watu wanawivu...mapenzi hayachagui wenyewe wamependana
 
Serengeti boys na taifa star na taifa star na serenget boy ndiyo mechi zlivo hakuna kushangaa
 
Wazee wanatuibia wasichana wetu, nasisi bora tuwaibe wamama....ila wamama wanamambo mazuri wanatufanya tunatulia na kufa nya kazi fresh eg daimond, nuh, na vjana wengne wengi wasiokuwa maarufu

Diamond platinumz mmuache kabisa huyu jamaa ni don ana mawe ya kuiteka dunia.
 
Zari, shilole, riyama, wema....hili collabo wanaweza kufungua kituo cha kulea vijana(marioo)

Chonde chonde msije mkamuingiza na DR MANY kwenye haya malumbano yenu, coz cyber crime is ON.

Baada ya tahadhari hiyo sasa wote tuimbe ule wimbo wa Ruby...haya twende "mapenzi hayana mwenyewe...waweza penda kijana ama mzee....niite jina langu............."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…