Picha: Semina za CHADEMA Digital zaendelea huko Solwa, Shinyanga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakuu kwanza tunaomba radhi sana kwa kuwachosha na hizi habari zetu za Chadema Digital, tunaomba tuvumiliane kidogo.

Hapa ni kijiji cha Mwantini kwenye Jimbo la Solwa huko Shinyanga ambako semina za Chadema Digital zinaendelea.

 
Kwa kapuku wa macho kama wewe unaweza kuchukulia poa , kwanza huu si usajili , ni semina ya wawezeshaji vijijini , je unajua wanawakilisha vijiji vingapi ?
Unafanya kosa kutoa siri za jeshi kimkakati
 
Comedy inaendelea naona hapo bonge la nyomi
 
Hebu waeleze jinsi mchakato huu unavosaidia mwendo wa kwenda kuchukua Dola!!Jinsi Dola itakavochukuliwa kwa mchakato huu!!!
 
Hebu waeleze jinsi mchakato huu unavosaidia mwendo wa kwenda kuchukua Dola!!Jinsi Dola itakavochukuliwa kwa mchakato huu!!!
Nchi ni ya wananchi , ukishawashika hao umetwaa uongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…