Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hebu fafanua kidogo mkuu sijaelewaMambo ccm hawako?
Kwa kapuku wa macho kama wewe unaweza kuchukulia poa , kwanza huu si usajili , ni semina ya wawezeshaji vijijini , je unajua wanawakilisha vijiji vingapi ?watu kumi
Oh I mean Mgambo CCM in rural areahebu fafanua kidogo mkuu sijaelewa
Unafanya kosa kutoa siri za jeshi kimkakatiKwa kapuku wa macho kama wewe unaweza kuchukulia poa , kwanza huu si usajili , ni semina ya wawezeshaji vijijini , je unajua wanawakilisha vijiji vingapi ?
Nyuma ya pazia kuna siri zaidi ya hiiUnafanya kosa kutoa siri za jeshi kimkakati
Mungu ibariki ChademaKuna watu wakiona hivyo wanabanwa na haja kubwa.
Pamoja na unyama wote waliofanyiwa na zengwe linafanywa sasa hivi lakini Watanzania Chadema kiko Mioyoni mwao.
Mmefika mpaka vijijini?? ?Mmetisha sanaWakuu kwanza tunaomba radhi sana kwa kuwachosha na hizi habari zetu za Chadema Digital , tunaomba tuvumiliane kidogo .
Hapa ni kijiji cha Mwantini kwenye Jimbo la Solwa huko Shinyanga ambako semina za Chadema Digital zinaendelea .
View attachment 1996271
Comedy inaendelea naona hapo bonge la nyomiWakuu kwanza tunaomba radhi sana kwa kuwachosha na hizi habari zetu za Chadema Digital , tunaomba tuvumiliane kidogo .
Hapa ni kijiji cha Mwantini kwenye Jimbo la Solwa huko Shinyanga ambako semina za Chadema Digital zinaendelea .
View attachment 1996271
Mafuriko kabisaComedy inaendelea naona hapo bonge la nyomi
Chadema safari hii haitaniiMmefika mpaka vijijini?? ?Mmetisha sana
Serious bussnessChadema safari hii haitanii
Nchi ni ya wananchi , ukishawashika hao umetwaa uongoziHebu waeleze jinsi mchakato huu unavosaidia mwendo wa kwenda kuchukua Dola!!Jinsi Dola itakavochukuliwa kwa mchakato huu!!!