MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Wakati nasahihisha mtihani ya watoto ninaowafundisha wa kidato cha pili,nkakutana na mtihani wa kijana aliyeingizwa kidato cha kwanza akiwa hajui hata baba kwa kiingereza ni nn. mtoto huyo kuandika amejifunzia shule ya sekondari
Kweli viongozi mnatupeleka wapi na elimu yetu?
Mbona mnatupa walimu wakati mgumu sana wa kutekeleza majukumu yetu ya kufundisha na tukikumbuka tunachokipata baada ya kukabiliana na watoto hao hapo ndio tunachoka kbs..
MIAKA 10 IJAYO TAIFA LITAKUWA KTK ANGGUKO KUBWA SANA LA MAJAMBAZI WALIOISHIA KIDATO CHA NNE NA WASOMI WABOVU SANA (WATAKAOBAHATIKA KUFIKA F.IV)
Kweli viongozi mnatupeleka wapi na elimu yetu?
Mbona mnatupa walimu wakati mgumu sana wa kutekeleza majukumu yetu ya kufundisha na tukikumbuka tunachokipata baada ya kukabiliana na watoto hao hapo ndio tunachoka kbs..
MIAKA 10 IJAYO TAIFA LITAKUWA KTK ANGGUKO KUBWA SANA LA MAJAMBAZI WALIOISHIA KIDATO CHA NNE NA WASOMI WABOVU SANA (WATAKAOBAHATIKA KUFIKA F.IV)