Picha: Sijui siku hizi akina dada wa kizungu wanatumia mchina

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Ebwana wanaJF mzuka!

Wala sidanganyi udhaifu wangu tu hupo hapa. Kila nikipishana nao
mapigo ya moyo wangu dhaif yanaenda mbio kwa kas ya ajab. Siku nikiwa tajir Amatus cha mtoto. Eti namilik vitalu vya gesi halaf huyo kwenye picha hapo chini anakatiza kwenye anga zangu haki ya nani haponi namkabiz tu tena vyote.

Wanajamvi tuzid kuombeana bila kuchoka mola azid kutupa uvumiliv hamna namna!

Benny Bigbootylover Zamaulid Kaboom mrangi Moral H Raimundo mshana jr Jimena GENTAMYCINE bushland

 
Dah..wewe kupigwa rahisi sana chief [emoji15]
 
Hata mimi nawaona sana wa maumbile hayo siku hizi huku ulaya. Tofauti na zamani siku hizi wameongezeka sijui ni mabadiliko ya nini
 
Teh teh..Hiyo picha umeipiga mwenyewe??
Bro wapo wanaotumia hizo vitu
 
 
Mzungu hata awe na zigo vipi hawana mvuto kabisaaaaaaa...... sasa kwa mwafrica sasa weweeeeeee..... acha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…