warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Dah, we Snura mbaya wewe ujue, ndio nini kutuchamba vile eti hatuna kazi za kufanya ndio maana tumekuzushia kuwa umejifungua mtoto kwa siri wakati sio kweli, Leo imekuwaje tena umekiri kuwa umejifungua mtoto wa kiume na hukutaka watu wajue kuhusu hilo.
Sasa wakati watu wanaongea si bora ungekaa kimya tu kuliko kudanganya watu kuwa hujajifungua na wala huna mtoto wakati sio kweli.Umehangaika mwenyewe kujificha na mabaibui, tena nasikia haukua cha South Africa wala Mombasa ulikuwa hapa hapa Dar es salaam ukijificha eti watu wasijue kuwa una mimba..
Kazi unayo mwaka huu, kila la heri siye tunaisubiri tu mauno maana tulikumis vibaya, Shilole jipange.
Sasa wakati watu wanaongea si bora ungekaa kimya tu kuliko kudanganya watu kuwa hujajifungua na wala huna mtoto wakati sio kweli.Umehangaika mwenyewe kujificha na mabaibui, tena nasikia haukua cha South Africa wala Mombasa ulikuwa hapa hapa Dar es salaam ukijificha eti watu wasijue kuwa una mimba..
Kazi unayo mwaka huu, kila la heri siye tunaisubiri tu mauno maana tulikumis vibaya, Shilole jipange.