CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Wanuka jasho nchi hii washanyooka siku nyingi sana hadi viungo vikakakamaa, kuna jipya kwani, sisi tuna enjoy tu hii burudani kutoka Dodomamtanyooka tu
Analinda kitengo chakeNchi ya ajabu sana hii, "mtaalamu wa sheria" anafuata foot steps za layman.
Labda mnapokuwa huko mnalinda na kufagia kwenye malalo yake.Magufuli ni kama maji lazima utayatumia
🤣🤣🤣🤣🤣💪Huyu bibi kanyimwa sura na rangi kapewa roho mbaya
wacha wee, na wewe ni mlamba asali? au unafaidika na hela haramu ya covid 19?Nonsense