PICHA: Tanzania yafikia 16% ujenzi wa reli ya kisasa



kulitakiwa kuwe na two railways kama hivi ya kwenda na kurudi... yani kama mradi wa BRT ulivyo... ili kuleta ufanisi ktk usafirishaji.... hawa wanajenga njia moja hili lina pelekea niseme ni ushamba tena na tena....
 
juzi kati heche aliuliza wamuonyeshe hata mita moja ni wapi wamejenga hio sgr, mi nilidhani mawaziri wangeinuka na kuomba miongozo, ila mpaka mwisho wa hotuba yake sikusikia akijibiwa!
 
Mbona sioni nguzo za umeme. Hii standard gauge mbona kama ishaanza kuzeeka au ndo mmbeiba mataruma kwenye reli yetu ya zamani
 


tunapo amua kuboresha miundo mbinu tuwekeze kweli kweli... sio ubabaishaji kama tuna jaribu... tujenge tumalize katika sekta hii... tukiondoka kwenda sekta nyingine tuna hama jumla... kwakuwa uchumi wetu sio mzuri kukizi yote lakini sio kujenga ktk viwango hafifu

1 way hiyo hiyo kwenda hiyo hiyo kurudi... sikubaliani nalo hata kama ndio tuna anza... tunge wekeza kweli tujenge kweli sio kujenga mifano kama BRT ya kuchora ya ndugu zetu wakenya
 
lakini hii SGR mbona njia moja alafu ipo kama kishamba sana???
Mkuu na Mimi nilikua najiuliza hili swali..Labda kama Mleta Mada ameweka picha tofauti..Lakini Kama Mradi wenyewe ndiyo huu basi Wasitambe ni Mradi wa Kisasa..Hii ni ya Kishamba.
 
Hawajatandika reli hata mita moja.
 
View attachment 811900

kulitakiwa kuwe na two railways kama hivi ya kwenda na kurudi... yani kama mradi wa BRT ulivyo... ili kuleta ufanisi ktk usafirishaji.... hawa wanajenga njia moja hili lina pelekea niseme ni ushamba tena na tena....

Unafananisha SGR na BRT hivi ni vitu viwili tofauti,halafu Rail track mbili zinakuwepo maeneo maalum tu mfano kwenye stesheni nk .Reli yoyote si kama bara bara ambayo kila mtu anatumia kuanzia mwenda kwa miguu mpaka mwenye Vitz.
Hata kuko kwa wenzetu walioendelea hawawezi kuweka reli mbili zilizo paralel kuanzia mwanzo wa reli hadi mwisho
 
ni vitu viwili tofauti lakini vina endana... wapo walioweka reli mbili ya kwenda na kurudi... sasa sijui wewe una zungumzia wenzenu wa wapi??? labda wakenya...; kwenye stesheni kuna kuwa na idadi ya track mbili na kuendelea ina tegemea na ukubwa wa stesheni husika...
 
juzi kati heche aliuliza wamuonyeshe hata mita moja ni wapi wamejenga hio sgr, mi nilidhani mawaziri wangeinuka na kuomba miongozo, ila mpaka mwisho wa hotuba yake sikusikia akijibiwa!

Siyo kila mpayukaji unamjibu. Kumbuka ule usemi usemao kichaa akichukua nguo zako wakati unaoga mtoni.......
 
Hii sio picha ya reli mpya, usidanganye
 
Ngoja tusubiri mradi ukamilike na uanze kufanya kazi, maana hii miradi inayoanzishwa kisiasa huwa ina matatizo yake. Maana hadi sasa sielewi tunajenga kwa fedha zetu kutoka hazina au kwa mkopo.
Mkopo wa uturuki, na Jana hela yao imedepreciate sana kwa asilimia 12, kwa hiyo Malipo ya interest yanatufilisi kishenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…