Ukosefu wa maadili ni Janga..Ukosefu wa maadili unachangia kuwa na taifa la malofa na mwisho wa siku masikini!Kama unafurahia watu waigize porn basi sina wasiwasi kuwa na wewe ni mmojawao wa hao waliokosa maadili..Kapimwe akili!Hii dhana yawasanii kuwa kioo cha jamii anayeiamini pia inabidi apimwe akili....Yani wewe badala kioo wawe wazazi wako unategemea wasanii ndio wawe vioo kwako....Hawa ni waburudishaji so hata wakiamua kucheza porn sio ishu...Ndio kinachowapa hela
kabisa my cuzoooKupanga ni kuchagua
Sorry mkuu sijakusomaBado sijaona tofauti kati ya Joyce Kiria na Wema Sepetu.
Big up to Hoyce Temu and Nancy Sumari.
Nini hasa?Sorry mkuu sijakusoma
Ukosefu wa maadili ni Janga..Ukosefu wa maadili unachangia kuwa na taifa la malofa na mwisho wa siku masikini!Kama unafurahia watu waigize porn basi sina wasiwasi kuwa na wewe ni mmojawao wa hao waliokosa maadili..Kapimwe akili!
Umemsahau dada etu wa Kimakonde,Tausi Likokola.kunawarembo kadhaa Bongo nao waheshimu sana,Faraja Kota,Nancy Sumari,Jackline Mengi,Hoyce Temu hawakuwa mamiss Tanzania na bongo celebrities bahati mbaya
Kuifanisha Tanzania na marekani ndio ulofa wenyewe!Mkuu sijui definition yako ya Ulofa ni nini.....Sioni uhusiano wa maadili na ulofa...Maana hakuna nchi zenye maadili mabovu kama magharibi (Reference ikiwa maadili ya kiafrika)....But ndio nchi zinazorun dunia kwa sasa
Kuifanisha Tanzania na marekani ndio ulofa wenyewe!
Tanzania ni nchi ambayo inapigana kumnyanyua mtoto wa kike kielimu..Sasa unapoifananisha na marekani ni wazi kuwa hata wewe maisha yako unaiga kila kitu kutoka huko..Hatuna haja ya kuanika matako insta au kua act porn kama unavyowaza badala yake young women need to be empowered hasa na wale wenzao ambao wameanza kuonyesha njia katika nyanja mbalimbali..
Nitupia picha lakini bado hujapata mantiki ya post hii!Bila shaka elimu uliyonayo haikusaidii kifikra dhidi ya uafrika na matatizo tuliyonayo as a poor country..
Unatetea watu ku act porn?Ndivyo ulivyofundishwa na wazazi wako?
kabisa my cuzooo