Picha: Tukimtoa mzee Mwinyi, hawa ndio wazee wetu tuliobaki nao sasa hivi

Picha: Tukimtoa mzee Mwinyi, hawa ndio wazee wetu tuliobaki nao sasa hivi

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
2,819
Reaction score
5,996
Ningependa pia kujua mzee Kenyata anamshinda Kikwete miaka mingapi?

5f6be59a-5804-4297-983f-1fb2bad19e39.jpg
maxresdefault.jpg
 
Rais Uhuru amepewa hilo jina kwasabb alizaliwa siku ya uhuru wa Kenya.

Kwahiyo ili kujua umri wake tafuta Kenya ilipata uhuru mwaka gani.
 
Rais Uhuru amepewa hilo jina kwasabb alizaliwa siku ya uhuru wa Kenya.

Kwahiyo ili kujua umri wake tafuta Kenya ilipata uhuru mwaka gani.
Mbona hakuna uhusiano wowote kati ya uhuru wa Kenya na jina la uhuru Kenyata mkuu.

Uhuru Kenyata kazaliwa tar 26/10/ 1961 na Kenya ilipewa uhuru wake tar 12/12/ 1963!
 
Aisee mbona Uhuru kaanza kuchoka mapema kabla hata mwaka mmoja haujatimia akiwa nje ya madaraka!

Historia inaonesha Kikwete anamzidi Uhuru miaka 11, lakini hapo Uhuru ndio anaonekana kumzidi Kikwete zaidi ya miaka 31 🤣🤣🤣
 
Aisee mbona Uhuru kaanza kuchoka mapema kabla hata mwaka mmoja haujatimia akiwa nje ya madaraka!

Historia inaonesha Kikwete anamzidi Uhuru miaka 11, lakini hapo Uhuru ndio anaonekana kumzidi Kikwete zaidi ya miaka 31 🤣🤣🤣
Nahisi ni kutokana na kuendekeza sana maji ya mende 😂😂
 
Back
Top Bottom