Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Huko mkoani Morogoro, wafanyakazi wa Tume Huru ya Uchaguzi wameanza kuingia mtaani na kuandaa events ndogo ndogo kwa ajili ya kutoa elimu ya mpiga kura na kuhamasisha wananchi wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
Haya ndio mambo tunayotaka kuona.
Sasa hapa tume ingepiga na Insta Ads na partnerships na online media wangetisha zaidi, maana vijana wengi ndo wanashinda huko mitandaoni.
==========================================
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi leo tarehe 22 Februari, 2025 imetoa Elimu ya Mpiga Kura kutumia Gari la Elimu ya Mpiga Kura kwenye Mnada wa Rubeho uliopo Kata ya Rubeho Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Mkoa wa Morogoro na kuwahamasisha wakazi wa halmashauri hiyo kwenda kujiandikisha au kuboresha taarifa zao wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kuanza tarehe 01 hadi 07 Machi, 2025 katika Mkoa wa Morogoro na baadhi ya halmashauri za Mkoa wa Tanga.
Huko mkoani Morogoro, wafanyakazi wa Tume Huru ya Uchaguzi wameanza kuingia mtaani na kuandaa events ndogo ndogo kwa ajili ya kutoa elimu ya mpiga kura na kuhamasisha wananchi wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
Haya ndio mambo tunayotaka kuona.
Sasa hapa tume ingepiga na Insta Ads na partnerships na online media wangetisha zaidi, maana vijana wengi ndo wanashinda huko mitandaoni.
==========================================
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi leo tarehe 22 Februari, 2025 imetoa Elimu ya Mpiga Kura kutumia Gari la Elimu ya Mpiga Kura kwenye Mnada wa Rubeho uliopo Kata ya Rubeho Halmashauri ya Wilaya ya Gairo Mkoa wa Morogoro na kuwahamasisha wakazi wa halmashauri hiyo kwenda kujiandikisha au kuboresha taarifa zao wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kuanza tarehe 01 hadi 07 Machi, 2025 katika Mkoa wa Morogoro na baadhi ya halmashauri za Mkoa wa Tanga.
