Picha: Tunda akiwa njiani kuelekea polisi

Sorry kama haujaelewa maana sema sijaelewa (nani anaetumia hapo?),huyo ni mama mtu mzima anaweza kua mama ako pia. Heshimu wazazi wa wenzio.
Kwani mama yake nae anatumia ngada?
 
Anaonekana kama ana wasiwasi fulani hivi. Inabidi apewe ukweli tu kuwa kule kuna ugali mzuri tu na maharage yasiowiva. Atakula fresh tu.
 
Babake atamsaidia........ni polisi maarufu pale morogoro "SABA SITA".[emoji23]
 
Hiki ndo kipindi cha kuonyesha unajua ku-care, hapo unatakiwa kumpa kampani bebi huku ukimliwaza sasa sijui akina Hance Mtanashati wamekimbia wapi mpaka mtoto anaripoti peke yake!
"Afande hiri naro turirisahau katika rist yetu "hapo mazee mahaba yanakuwa yamekutokea puani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…