Kuna bata basi au show off,BTW amechagua kuushi ivyo ila wote twafa!Hivi kujaza mimaji ya kila dizaini tumbon ndo kula bata?
Anakaa ununio kwa shoga akeUzuri unaweza kuwa chanzo cha umaskini au utajiri na huyu uzuri wake nahisi anautumia kutengeneza umaskini mana kila kitu unachomwona nacho watu wana sema sio chake,mara anakaa kwa shoga yake,mara kapangiwa chumba hoteli na kidume,na vijana wa siku hizi utafikiri amekupangia chumba wewe kumbe yeye kaipangia chumba PAPUCHI kweli kuzaa unaweza kuzaa kizaa zaa
Amepatana na husna?Mi nilijua baada ya kutoka polisi katatulia kumbe ndo wamemboost
Bibi we, si ajabu hapo siku tatu hajala kitu cha kueleweka.Ningekua tunda kwa bata ndefu hizo ningenenepa sana,sijui wanameza vidonge vya kukonda au ndio miili imewagomea kunenepa kisa kubeba mizigo mikubwa.