Picha: Tunda na Husna Maulidi wakila bata

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Watu wanajua kutumia pesa mjini, tunda usisahau kupanga kwako, nasikia unakaa kwa shoga ako davtor, mwenzio kapangiwa na daktari na wewe tafuta kwako bhana, sio kila siku unadandia nyumba za watu but hivi hizi pesa za kuchezea hivi huwa mnapata wapi? Maana hizo bata zenu kwa kweli sio za nchii hii
 
Uzuri unaweza kuwa chanzo cha umaskini au utajiri na huyu uzuri wake nahisi anautumia kutengeneza umaskini mana kila kitu unachomwona nacho watu wana sema sio chake hata hiyo bata hapo usikute hajachangia hata mbuni,mara anakaa kwa shoga yake,mara kapangiwa chumba hoteli na kidume,na vijana wa siku hizi utafikiri amekupangia chumba wewe kumbe yeye kaipangia chumba PAPUCHI kweli kuzaa unaweza kuzaa kizaa zaa,
 
Anakaa ununio kwa shoga ake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…