Alishakufa tena huyo alihamisha bugando hospital kipndi cha vita ya kageraYupo bibi mmoja Mwanza aliitwa bibi fisi aliishi karibu na Hospital ya Bugando , barabara ya lami ilipofika kwenye nyumba yake ilibidi ipige kona uikwepa nyumba yake maana walishindwa kumtoa baada ya kugoma.Sina hakika kama yule bibi bado yuko hai na kama ile barabara ilikuja kunyoooshwa tena
Umenikumbusha mbali mkuu hiyo ndio mitaa niliokulia na kucheza mpira Sana .Yupo bibi mmoja Mwanza aliitwa bibi fisi aliishi karibu na Hospital ya Bugando , barabara ya lami ilipofika kwenye nyumba yake ilibidi ipige kona uikwepa nyumba yake maana walishindwa kumtoa baada ya kugoma.Sina hakika kama yule bibi bado yuko hai na kama ile barabara ilikuja kunyoooshwa tena
Kwahiyo uchawi wake ulikuwa na nguvu ya kuilinda nyumba yake tu na si nafsi yake!!?Umenikumbusha mbali mkuu hiyo ndio mitaa niliokulia na kucheza mpira Sana .
Yule bibi watu walimfanyia ambush wakamkatakata na mapanga na ikawa mwisho wa story yake Kwan yalikua maelekezo maalum baada ya kushindikana...
Watu walishindwa kubomoa kijumba chake Cha udongo kilicho barabaran wakitaka kubomoa wakakuta ni ziwa kubwa..
Baada ya kumuua barabara ikapita vzur sana na Leo hii lile eneo Kuna barabara na nyumba nzur Sana zimejengwa...
ππsijakuelewa mkuu naitaji ufafanuzi tafadhali kwamba ayo makuti ndio yalizuia iyo chaki isipite apo?
dawa ni kwenda kujenga kanisa karibu na hapo.Kama unabisha waulize wakandarasi hapa bongo
USSRView attachment 2899955
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app