Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo ni mdada na mkaka eti.Wadada wa wapi hao? Ova ndizi choma.
Haiwezekani..Mkuu hapo ni mdada na mkaka eti.
🤣🤣 huyo wa kulia mi nimejionea kama Me eti.Haiwezekani..
Ni kweli😁🤣🤣 huyo wa kulia mi nimejionea kama Me eti.
Yaani! Naye alitaka ang'ae. 😀Ni kweli😁
Bora ungesema uyo ras.. wakulia demu🤣🤣 huyo wa kulia mi nimejionea kama Me eti.
We nae vaa miwani hebu. Ni me huyo bana.Bora ungesema uyo ras.. wakulia demu
Hao watakuwa ba Mutu ya Congo🤔Huyo mwanaume katuaibisha kabisa sisi wanaume wa shoka.ningekuwa ni amjua ningempiga makofi kabisa.utajichubuaje mwanaume?
Sie tunafanya skin care Tu🤣🤣🤣Cha kushangaza humu jf kila mdada hajichubui na atakushangaa sna 😁😁😁 hawa wa huku wanajing'arisha tu🤪🤪
Hawa watakuwa raia wa CongoYaani! Naye alitaka ang'ae. 😀
Mkuu hadi nimecheka. Lol.Cha kushangaza humu jf kila mdada hajichubui na atakushangaa sna 😁😁😁 hawa wa huku wanajing'arisha tu🤪🤪