Picha: Uwekaji alama Loliondo, mitutu ya bunduki kama Mogadishu Somalia

Halafu tunawahakikishia watu kwamba tz kuna amani! Kuweka bicon tu hadi askari wenye silaha, kunani?

Usicheze na hela
Utu unakaa pembeni
Hapo muwekezaji atakuwa anawinda wananchi kama Swala tu
Ukiingia hapo shaba tu
Yaani nchi inauzwa kama viwanja binafsi
 
Hii ni ushahidi kuwa, hakuna consesus kati ya wananchi na serikali...

Kupeleka askari ili kusimamia uwekaji wa alama bila ridhaa ya wananchi wenyeji wamiliki wa ardhi hiyo, ni dalili ya vita kubwa..

Nani atazilinda hizo beacons? Ina maana kila siku watakuwapo askari kulinda kila beacon?

Serikali ijitafakari. Nguvu ya umma ikiamua, hakuna awezaye kusimama mbele yake hata uwe na bunduki zote duniani...!
 

Ipo tu siku Serikali itatambua kwamba mazungumzo juu ya meza yana nguvu kubwa kuliko bunduki za police au vifaru vya Jeshi.
 
Ngorongoro sio sehemu ya kwanza kuhamishwa raia ilibkupisha matumizi ya umma sasa ninashangaa hilo limekua gumzo, au shida ni kwakua mwekezaji ni mwarabu?

Matumizi ya umma ama ya mwekezaji…ulishawahi kufuatilia hizo hoteli za kitalii zinaipatia serikali kiasi gani na kiasi gani kinaenda kwao…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…