PICHA: Wadada mkiwa mnapiga deki muwe makini mnaleta dhahama

PICHA: Wadada mkiwa mnapiga deki muwe makini mnaleta dhahama

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Sasa unapiga deki umevaa kimini umekaa kihasarahasara tu ndo nini kutufanyia hivo watoto wa wenzenu...hafu beki tatu tu.

426513359.jpg

 
Shule niliyosoma Mwalimu wangu wa Dini alisema,mipasuo ya wanawake inamaanisha "kwani huna macho ?)
Basi Hilo vazi la Dada wa watu anamaanisha ujiongeze

HOUSE GIRL'S NAO NI WATU,WANA GENYE
 
Sasa unapiga deki umevaa kimini umekaa kihasarahasara tu ndo nini kutufanyia hivo watoto wa wenzenu...hafu beki tatu tu.View attachment 2272003
Naona mkuu hii ulibana kwenye angle ya dirisha ili kupata clear picture.

Hii nilikutana nayo Kinondoni Moscow kipindi msela napanga aisee huo mtego kuchomokaga inakuwa ngumu sana,akiona huelewi atakwambia siku anataka akusaidie kufanya usafi ghetto so hapo ni wewe na akili zako.
 
Back
Top Bottom