Kama ningekuwa mwalimu Malaria Sugu kwa swali hilo ningekupa o kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yenye masikio makubwa ya rangi nyekundu
sHERIA INASEMA UKIWA HUNA MKE UOE, PADRI HARUHUSIWI KUWA RAIS
sHERIA INASEMA UKIWA HUNA MKE UOE, PADRI HARUHUSIWI KUWA RAIS
sHERIA INASEMA UKIWA HUNA MKE UOE, PADRI HARUHUSIWI KUWA RAIS
Ni lipi bora kuwa na wake wawili au kuwa na vidu 10 aka nyumba ndogo.
Bi Zakia Bilal
Bi Asha Bilal
Mhe Ali H Mwinyi tunajua alikuwa nao. Huyu VP naye naona ana wake wawili. Tetesi: kuwa JK naye ana wake wawili. Hivi sheria za serikali zinasema nini kuhusu kuwa gharamia hawa mabibi ?
Kuna wengine ni maiti zinazotembea..................sHERIA INASEMA UKIWA HUNA MKE UOE, PADRI HARUHUSIWI KUWA RAIS
Hata ikiwa Sheria ya Serikali inaruhusu Mke Mmoja na watoto 4 , huyo Mke wa pili si kivyake huyo Makam wa Rais. Ingawa Serikali haimtambuwi huyo Mke wa pili sio mbaya Dini yake inamruhusu kuowa zaidi ya Mke Mmoja na Serikali haina Dini kwa hiyo Serikali itamtambuwa huyo mke wake wa Kwanza na hao Watoto wake 4 tu huyo Mke Wa Pili kivyake tu .Mke mmoja na watoto wanne hii ndiyo sheria ya serikali!!
Mke mmoja na watoto wanne hii ndiyo sheria ya serikali!!
sHERIA INASEMA UKIWA HUNA MKE UOE, PADRI HARUHUSIWI KUWA RAIS