Picha: Wakili Mwabukusi azawadiwa kuku.

Picha: Wakili Mwabukusi azawadiwa kuku.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
1000030015.jpg
 
Yes, nimesoma, not kuona.....asije kuwa wa mchongo...why all that trouble ya mchongo? Ili kufanikisha nini wakati ameshashinda?
Hukamwelewa kushinda kwingine na mchongo kwingine alimaanisha wanaweza wabayawake kumwekea kitukibaya pale ndani sioo mawakili wote wanefyrahi kushinda mh bdiomaana ajitunzee
 
Boy mbona kichwa chako kigumu sana kung'amua mambo madogo haya
lugha za kwenu vijiweni sizijui maana sikai huko na sina ukaribu nanyi wa vijiweni, lastly uwe na adabu. Mimi ni baba yako , nina uhakika naweza kukuzaa mara10!
 
lugha za kwenu vijiweni sizijui maana sikai huko na sina ukaribu nanyi wa vijiweni, lastly uwe na adabu. Mimi ni baba yako , nina uhakika naweza kukuzaa mara10!
Siwezi kuwa na baba mwenye Ubongo mzito kama wewe hata mtoto wangu wa darasa la 5 anakuzidi kufikiri
 
Back
Top Bottom