Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
for what purpose kusema uongoAsije kuwa kuku wa mchongo
Umòeona nilichoandikafor what purpose kusema uongo
Yes, nimesoma, not kuona.....asije kuwa wa mchongo...why all that trouble ya mchongo? Ili kufanikisha nini wakati ameshashinda?Umòeona nilichoandika
Fisiemu unawajua vizuri?Yes, nimesoma, not kuona.....asije kuwa wa mchongo...why all that trouble ya mchongo? Ili kufanikisha nini wakati ameshashinda?
nimekupta, mchongo wa uchawi, sumu and the like! Uko sahihi, asimleFisiemu unawajua vizuri?
Hukamwelewa kushinda kwingine na mchongo kwingine alimaanisha wanaweza wabayawake kumwekea kitukibaya pale ndani sioo mawakili wote wanefyrahi kushinda mh bdiomaana ajitunzeeYes, nimesoma, not kuona.....asije kuwa wa mchongo...why all that trouble ya mchongo? Ili kufanikisha nini wakati ameshashinda?
Boy mbona kichwa chako kigumu sana kung'amua mambo madogo hayanimekupta, mchongo wa uchawi, sumu and the like! Uko sahihi, asimle
lugha za kwenu vijiweni sizijui maana sikai huko na sina ukaribu nanyi wa vijiweni, lastly uwe na adabu. Mimi ni baba yako , nina uhakika naweza kukuzaa mara10!Boy mbona kichwa chako kigumu sana kung'amua mambo madogo haya
Siwezi kuwa na baba mwenye Ubongo mzito kama wewe hata mtoto wangu wa darasa la 5 anakuzidi kufikirilugha za kwenu vijiweni sizijui maana sikai huko na sina ukaribu nanyi wa vijiweni, lastly uwe na adabu. Mimi ni baba yako , nina uhakika naweza kukuzaa mara10!
sasa muulize mama yako kama nina ubongo mzito atakuelezaSiwezi kuwa na baba mwenye Ubongo mzito kama wewe hata moto wangu wa darasa la 5 anakuzidi kufikiri
Nimeamini wewe ni maskini wa Akili na Busara, unazeekq vibaya sanasasa muulize mama yako kama nina ubongo mzito atakueleza
DuuuMwabukusi alivyo na jazba huyo kuku akimdonoa hapo lazima alete noma