M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Mar 31, 2023 #1
Toxic Concotion JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 5,760 Reaction score 20,837 Mar 31, 2023 #2 Michumia tumbo katika ubora wao. Hapo kuna muuza meno ya tembo, muuza vitenge bila kulipa kodi, mmiliki wa ardhi yote Tanzania na DJ wa sound, maneno mengi kuliko vitendo. Kwa kupenda pesa hao hata wakiambiwa wavae sketi na kupaka make up kama kina Dullivani kuonyesha kuna haki Tz watafanya. Kikubwa kuwe na mtonyo tu.
Michumia tumbo katika ubora wao. Hapo kuna muuza meno ya tembo, muuza vitenge bila kulipa kodi, mmiliki wa ardhi yote Tanzania na DJ wa sound, maneno mengi kuliko vitendo. Kwa kupenda pesa hao hata wakiambiwa wavae sketi na kupaka make up kama kina Dullivani kuonyesha kuna haki Tz watafanya. Kikubwa kuwe na mtonyo tu.
KingCobra95 JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 3,249 Reaction score 5,863 Mar 31, 2023 #3 DJ hawezi kukosa kwenye matukio kama haya
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Mar 31, 2023 #4 Mzee wa Bills!
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Mar 31, 2023 #5 Makamo M/K Uso wake unajieleza ,hataki kua sehem ya Habari ila Kwa chininchini ni mtu Hatari . ChagaGang, Uso wake unaonyesha , nipe deal nikupe deal, kikubwa Kila mtu ashinde mechi zake. JK.. Uso wake umejaa tabasamu ,mashavu kayavuta , ila Akili yake Iko mbali sanaaa ( sio mtu wa kuamini). Hapo aliyecheka na kufurahi bila neno la Hila ni KASSIM M.
Makamo M/K Uso wake unajieleza ,hataki kua sehem ya Habari ila Kwa chininchini ni mtu Hatari . ChagaGang, Uso wake unaonyesha , nipe deal nikupe deal, kikubwa Kila mtu ashinde mechi zake. JK.. Uso wake umejaa tabasamu ,mashavu kayavuta , ila Akili yake Iko mbali sanaaa ( sio mtu wa kuamini). Hapo aliyecheka na kufurahi bila neno la Hila ni KASSIM M.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 31, 2023 #6 Muda utaongea...
Ed Kawiche JF-Expert Member Joined May 28, 2020 Posts 2,987 Reaction score 5,566 Mar 31, 2023 #7 nice picture
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Mar 31, 2023 #8 Kuna kajitu hapo Mungu anavyochelewa kukaondosha katatuvuruga sana.