Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Unavyozipenda hizi picha za kipindi hicho wapinzani walikuwa na democrasia ya kutosha tofauti na sasa miaka Minne mtu mmoja tu kafanya kampeniDogo umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji siyo?
Hebu tazama hii ya miaka 10 iliyopita kisha niambie huyo Lisu wako anaingia mara ngapi hapo? View attachment 1571855View attachment 1571856View attachment 1571857View attachment 1571858View attachment 1571859
Dogo umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji siyo?
Hebu tazama hii ya miaka 10 iliyopita kisha niambie huyo Lisu wako anaingia mara ngapi hapo? View attachment 1571855View attachment 1571856View attachment 1571857View attachment 1571858View attachment 1571859
Dah.. hayo mafuriko si mchezo. So, kwa kuwa huko nyuma ccm walishinda kwa wizi, unafikiri wataweza kuiba miaka yote?!Na huyu ni Lowassa 2015.
Kiufupi huyu Lissu wako ni tone tu kwenye bahari
View attachment 1571861View attachment 1571862View attachment 1571863View attachment 1571864
Watoto kama hawa wana support itikadi wewe mtu mzima huna hata nia ya kupiga kura.. Jitu hovyo unakua
Duh..CCM ya Magufuli imakataliwa Tanganyika na Zanzibar. Duniani na Mbinguni.
Hii yote ni kwanini?Hahaha waache Wajifurahishe Bana Wanajua ndio wakati wao huu Wa kujitoa ufahamu Halafu watarudi kununa kulalamika kama kawaida ya malalamiko fc
Nlikua kwenye kampeni ya lema, yaani watu wameenda kwenye kampeni wamevaa ccm kabisaNawasilimu wakazi wa JF...
Mbona unateseka?
Hapo kwanza ilikuwa ni UKAWA.... SAWA?
MBALI YA YOTE TUNDU LISSU KAVUNJA REKODI KUKUBALIKA NA MAELFU BILA UKAWA, WASANII, KUTOROSHA WANAFUNZI, KULAZIMISHA WATUMISHI KUJA MIKUTANONI NA BILA MALORI NA MAFUSO PAMOJA NA MABASI.
NI YEYE TU.View attachment 1571868View attachment 1571869View attachment 1571871View attachment 1571872View attachment 1571873
Anachosahau pia kipindi hicho media zilikuwa huru, wananchi walikuwa huru, vyama vilikuwa huru, hivyo hata mikutano ilikuwa ikitangazwa kwenye vyombo vya habari.Mbona unateseka?
Hapo kwanza ilikuwa ni UKAWA.... SAWA?
MBALI YA YOTE TUNDU LISSU KAVUNJA REKODI KUKUBALIKA NA MAELFU BILA UKAWA, WASANII, KUTOROSHA WANAFUNZI, KULAZIMISHA WATUMISHI KUJA MIKUTANONI NA BILA MALORI NA MAFUSO PAMOJA NA MABASI.
NI YEYE TU.View attachment 1571868View attachment 1571869View attachment 1571871View attachment 1571872View attachment 1571873
ccm mpya haina ushawishi kabisa inategemea rushwa, kununua wapinzani, vitisho kwa wapiga kura, utekaji na mauaji.
Sisi tulio 'genuine', kushinda kwa Magufuli au Lissu ni mwanzo wa kazi mpya ya kumkosoa inapobidi au kumpongeza anapostahili huyo tutaempa dhamana ya mitano ijayo!Baada ya Oktoba 28 ;
Tutashuhudia wimbi la ID mpya.
Zipo zitakazotelekezwa kwa aibu.
Picha za watoto Hawa zinataka kunitoa machozi yaani.naona upendo.
Jana Mimi nimeshinda Nachek unabisha Nini sasa wakaweka minyimbo yao hyoππππStori za vijiwe! Tulolieni daw iwaingie , kama Rais alizomewa leteni video! La sivyo mnatwanga maji kwenye kinu!..
Hizi pumba huku jf hatuzitumii, pelekea kuku wale.Nlikua kwenye kampeni ya lema, yaani watu wameenda kwenye kampeni wamevaa ccm kabisa
Mnajifanya vipofu sio?!Hahaha waache Wajifurahishe Bana Wanajua ndio wakati wao huu Wa kujitoa ufahamu Halafu watarudi kununa kulalamika kama kawaida ya malalamiko fc