We amini maigizo sasaSawa je uliwahi kuona wapi igizo kama hili ,hapa kuna kitu kikubwa kinakuzwa kwa watoto
USSR
Nani kakudanganya?, fuatilia kwa umakini ujue dunia ni tambala bovuHao jamaa washamaliza shida za wananchi wao acha watambe tu.
Umelitoa wapi hili jina?rais Jonathan Biden
Kaona Joe akajua ni kifupisho cha JonathanJonathan ni rais wa nchi gan .....huwa mnakula maharage ya wap.....
Hii sio photo shop product ni picha halisi ya maonesho halisi ya kukuza vipaji vya watoto,hii ni moja ya vipaji vya maafisa wa usalama wa ,NSA,FBI CIA na n.k kuunda kikosi cha ulinzi wa viongozi hapo USA.
Madogo walionesha mengi na hapa walionesha jinsi rais Jonathan Biden anavyo weza kulindwa kama mkuu wa nchi
Tanzania hivi havitakiwi,eti tunajua walinzi lazima wawe mabaunsa bila akili .
USSR View attachment 2602618
View attachment 2602620View attachment 2602623
Huwezi kulinganisha na hizi shit hole countryz za Africa hasa TZ.Nani kakudanganya?, fuatilia kwa umakini ujue dunia ni tambala bovu
Hufiki mbinguni nakwambia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tz huo ni umri wa shuleni
Sema dogo black wakwanza (mkono wa kushoto) amepewa koti kama alilopewaga Feisali
Kwa sasa Tanzania hao wapo mkubwa ktk Jwtz,vijana wa six katika fani ya Science pamoja na yote wanapewa mafunzo ya aina hiyo pia. Na kumbuka kuwa USA ni wakubwa kwetu sana huwezi kufananisha na SisiSawa je uliwahi kuona wapi igizo kama hili ,hapa kuna kitu kikubwa kinakuzwa kwa watoto
USSR
Naona ulicho andika hapo ni maelezo yako pengine wewe ulivyo elewa.Hii sio photo shop product ni picha halisi ya maonesho halisi ya kukuza vipaji vya watoto,hii ni moja ya vipaji vya maafisa wa usalama wa ,NSA,FBI CIA na n.k kuunda kikosi cha ulinzi wa viongozi hapo USA.
Madogo walionesha mengi na hapa walionesha jinsi rais Jonathan Biden anavyo weza kulindwa kama mkuu wa nchi
Tanzania hivi havitakiwi,eti tunajua walinzi lazima wawe mabaunsa bila akili .
USSR View attachment 2602618
View attachment 2602620View attachment 2602623