Picha ya eneo moja inaweza kutumika kupotosha Uhalisia wa eneo lingine. Thibitisha kwanza kupata Ukweli kabla ya kusambazia wengine

Picha ya eneo moja inaweza kutumika kupotosha Uhalisia wa eneo lingine. Thibitisha kwanza kupata Ukweli kabla ya kusambazia wengine

JamiiCheck

Member
Joined
Nov 3, 2023
Posts
98
Reaction score
122
Ni muhimu kuthibitisha kila picha unazokutana nazo mtandaoni zikihusishwa na matukio tofautitofauti ili kupata uhalisia kabla ya kuendelea kuwasambazia wengine.

Kumbuka unapofanya uhakiki wa maudhui mbalimbali unawalinda watu wengi dhidi ya upotoshaji unaosambaa ndani na nje ya mtandao.
 
Ni muhimu kuthibitisha kila picha unazokutana nazo mtandaoni zikihusishwa na matukio tofautitofauti ili kupata uhalisia kabla ya kuendelea kuwasambazia wengine.

Kumbuka unapofanya uhakiki wa maudhui mbalimbali unawalinda watu wengi dhidi ya upotoshaji unaosambaa ndani na nje ya mtandao.
Mbona fake news kibao hupostiwa humu ndani bila uthibitisho. Mkiona ina views nyingi huwa hamfuti, so JF wenyewe msimamie Fact checking ndio mshauri wengine.
 
Back
Top Bottom