Picha ya familia: Miaka 33 baadaye!

Picha ya familia: Miaka 33 baadaye!

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
Wakuu,

Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1987 huko sokoni Budapest Hungary.

Picha ya pili ilipigwa tena kwa mfanano kama ule wa kwanza(recreated)na watu walewale, eneo lilelile mwaka 2020.

Inaleta kumbukumbu nzuri sana hasa ukizingatia ni muda mrefu sana umepita na mabadiliko mengi yametokea.

Mpiga picha pia ni yuleyule wa mwaka 1987 ambaye ndiye mume huyo binti(wa zamani) na baba wa huyo binti(wa sasa).

Anaitwa Attila Manek,kazi yake ni photographer.

Mungu ni mwema sana.


49520719adab6acc4bb0cc2b6c5e8973.jpg
attila-manek-photo-2020.jpg
images.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na muuza genge sokoni bila shaka ni yuleyule wa 1987.
 
Back
Top Bottom