Picha ya Hayati Baba wa Taifa ofisini inamaanisha nini?

Picha ya Hayati Baba wa Taifa ofisini inamaanisha nini?

Njemba Soro.

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
3,732
Reaction score
6,561
JamiiForums najua kuna wasomi na wote ni waelewa. Sasa nauliza kwanini picha za marais wengine hazipo?

Mfano sasa ukifika hospitali utakuta picha ya Nyerere na ya Rais Magufuli.

Wakati waKkikwete ilikuwa Nyerere na Kikwete.

Wakati wa Mkapa ilikuwa Nyerere na Mkapa.

Sasa nauliza kwanini zisiwekwe picha zote ili kuwaenzi viongozi wote?

Au picha ina maana nyingine zaidi ya kumuenzi Nyerere
 
Ndio maana pale kwenye noti ya Tz hawapo maraisi wote..
Haina maana kwanza wakati mwingine kiongozi huenda alishapita ukimuona unakumbuka awamu yake alivyokusomesha namba.
Tunamuenzi muasisisi wetu..
 
Mwl Nyerere ni Baba wa Taifa, Kumbuka Hilo, picha yake itabakia milele kwny office binafsi na za Umma!

Kuna kamati dunia nzima (I think Iko chini ya UN) huwa inazunguka dunia nzima kuangalia watu km hawa Ikiwa wanapewa heshima inayostahili.

Kuna office moja ya makaburu niliwahi kufanya kazi akaja mzungu mmoja Toka USA akakuta picha ya Mwal Nyerere imewekwa sehemu isioyoonekana vizuri (invisible), aisee Yule mzee alichimba mkwara akatishia kufunga office kwa mamlaka aliyonayo Ikiwa tu picha haitawekwa sehemu inayostahili.
 
Hivi US picha gani ni Common maeneo mengi Naonaga Trump akiwa na press White house Sometime anakuwa Nyuma yake na background ya Franklin Rossvelt au wakati mwingine George Washington
 
Picha ya Mwl Nyerere inawakilisha muanzilishi na Baba wa Taifa la Tanganyika/Tanzania ambayo inakuwa mbele ya kiti cha boss/au mtu yeyote aliyekaa ofisini ba picha ya Rais aliyepo inakaa nyuma ya kiti cha mwenye ofisi kumaanisha Mkuu wa Dola. Picha hizo zinaweza pia kuwekwa maeneo tofauti na hayo kutegemeana na chumba kilivyo lkn ni lazima zionekane vizuri. Tofauti ya nchi nyingine na North Korea ni kuwa Rais wa kwanza wa NK Kim Il Sung ndiye Rais licha ya kuwa ni marehemu na wanaofuata wanaitwa "Kiongozi wa NK"ni baba wa Taifa na Rais.
 
Mwl Nyerere ni Baba wa Taifa, Kumbuka Hilo, picha yake itabakia milele kwny office binafsi na za Umma!

Kuna kamati dunia nzima (I think Iko chini ya UN) huwa inazunguka dunia nzima kuangalia watu km hawa Ikiwa wanapewa heshima inayostahili.

Kuna office moja ya makaburu niliwahi kufanya kazi akaja mzungu mmoja Toka USA akakuta picha ya Mwal Nyerere imewekwa sehemu isioyoonekana vizuri (invisible), aisee Yule mzee alichimba mkwara akatishia kufunga office kwa mamlaka aliyonayo Ikiwa tu picha haitawekwa sehemu inayostahili.
Duh......! Asante kwa maarifa
 
Mwl Nyerere ni Baba wa Taifa, Kumbuka Hilo, picha yake itabakia milele kwny office binafsi na za Umma!

Kuna kamati dunia nzima (I think Iko chini ya UN) huwa inazunguka dunia nzima kuangalia watu km hawa Ikiwa wanapewa heshima inayostahili.

Kuna office moja ya makaburu niliwahi kufanya kazi akaja mzungu mmoja Toka USA akakuta picha ya Mwal Nyerere imewekwa sehemu isioyoonekana vizuri (invisible), aisee Yule mzee alichimba mkwara akatishia kufunga office kwa mamlaka aliyonayo Ikiwa tu picha haitawekwa sehemu inayostahili.
Hahahahahaha nimecheka sana
 
JamiiForums najua kuna wasomi na wote ni waelewa. Sasa nauliza kwanini picha za marais wengine hazipo?

Mfano sasa ukifika hospitali utakuta picha ya Nyerere na ya Rais Magufuli.

Wakati waKkikwete ilikuwa Nyerere na Kikwete.

Wakati wa Mkapa ilikuwa Nyerere na Mkapa.

Sasa nauliza kwanini zisiwekwe picha zote ili kuwaenzi viongozi wote?

Au picha ina maana nyingine zaidi ya kumuenzi Nyerere
Kwa nini picha ya George Washington tu ndio ipo kwenye dollar Bill
 
Back
Top Bottom