Ndugu Wadanganyika .....hapo hatoboi upande wa pili.......lakini ghafla kutoka kwenye korongo wanaibuka polisi na tume ya uchaguzi wanamnyakuwa kama afanyavyo SpiderMan.....da..da...ni kivumbi tu hapa na vitu vyenye ncha kali vimezagaa kila eneo........nini tene....aahhhh...naona Chawa wote wanainama na kusujudi huku wakiimba kazi iendeleee....huku wakielekea uwanja wa Uhuru.