Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Wazoa taka wakisukuma mkokoteni wenye taka katika barabara ya Kirumba, jijini Mwanza jana. Halmashauri ya Jiji la Mwanza imepiga hatua katika kuhakikisha mazingira yanakuwa safi katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo hali inayoleta sura ya kuvutia. (Picha na Fadhili Akida).
Je hapo Dares-Salaam Usafi tunafanya vizuri?