JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
Wakati wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM mwaka 2015 marehemu Magufuli na Membe walipiga picha ambayo baada ya kuiangalia leo imenitoa machozi na kunikumbusha maisha ya mwanadamu si chochote kabisa.
Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.
Leo ndiyo mazishi ya Bernard Membe kule kijijini kwake Rondo.