Mohamed Said JF-Expert Member Joined Nov 2, 2008 Posts 21,967 Reaction score 32,074 Dec 8, 2021 #1 "Mimi Bi. Zarula ni shangazi yangu aliyezaliwa tumbo moja na baba yangu. Amenilea toka nimeacha ziwa mpaka nakuwa na akili najua yeye ndio mama yangu. Pia nilikuwa ninafahamu wapi alikuwa akificha kadi, akija mtu wanafunga milango yote ndio anamuandikia na zilizobaki anazificha uvunguni mwa kitanda."
"Mimi Bi. Zarula ni shangazi yangu aliyezaliwa tumbo moja na baba yangu. Amenilea toka nimeacha ziwa mpaka nakuwa na akili najua yeye ndio mama yangu. Pia nilikuwa ninafahamu wapi alikuwa akificha kadi, akija mtu wanafunga milango yote ndio anamuandikia na zilizobaki anazificha uvunguni mwa kitanda."
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Dec 8, 2021 #2 Kumbe bibi naye alikuwa msichana; ajabu viruka njia wa leo wanaringa. Hakuna jipya chini ya Jua.
K kipuyo JF-Expert Member Joined Jul 30, 2009 Posts 1,785 Reaction score 1,467 Dec 8, 2021 #3 Mbona hakuvaa hijabu?alikuwa mgalatia?
Phobia JF-Expert Member Joined Mar 29, 2021 Posts 1,156 Reaction score 1,819 Dec 8, 2021 #4 kipuyo said: Mbona hakuvaa hijabu?alikuwa mgalatia? Click to expand... Wapuuzi wenye mrengo wa kidini utawajua tu [emoji115][emoji115][emoji115]
kipuyo said: Mbona hakuvaa hijabu?alikuwa mgalatia? Click to expand... Wapuuzi wenye mrengo wa kidini utawajua tu [emoji115][emoji115][emoji115]