Picha ya Mwanayanga aliyeitia aibu nchi jana

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Huwezi amini kakabidhiwa wizara nyepesi kabisa ya tararira za kina diamond, mabantu harmonize na kina yanga na simba lakini inamsumbua. Huyu angepewa wizara kama ya mambo ya ndani au fedha na ulinzi ingekuwa hali nyingine.

Naanza kuamini kule Karagwe ile ranchi ambayo mtu fulani alisema ingekuwa sehemu yake ya kustaafu(kama kweli angestaafu) na kile kiwanda cha maziwa ilisemekana huyu jamaa ndiye msimamizi mkuu.

Insikitisha sana kuwa na wasimamizi wa serikali kama hawa WHAT A SHAME, ULITUMWA AU ULIWASAIDIA UTOPOLO?

COME CLEAN

 
Kusema ukweli mimi ningekuwa waziri ninge jiuzulu
 
Mwenye akili za ajabu ni huyo aliyekubeba wewe tumboni kwake miezi 9 kitu cha hovyo akakizaa halafu hajakitupa chooni.
ukitaka uamini amri ilitoka ikulu andika kumlaumu Rais samia kuhusu usenge wa jana dakika tano ianfutwa yaani ni aibu san asikudhani yule mama ana akili za ajabu kama alichofanya jana
 
Mwenye akili za ajabu ni huyo aliyekubeba wewe tumboni kwake miezi 9 kitu cha hovyo akakizaa halafu hajakitupa chooni.
mara ya mwisho kumwagiwa maji ya nazi mpalangeni kwako ni lini mkuu?maaana umerithi tabia za marehemu bibi yako aliyekuwa mdangaji maarufu enzi zile
 
Yanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi
Hivi jana Yanga walisusia mechi? Kwa hiyo Simba atapewa pointi 3 za dezo na Yanga kushushwa madaraja 2 kama kama kanuni zinavyosema?!
 
Wa kulaumiwa ni TFF ambayo inaongozwa na Wallace Karia ambaye ni mwanachama mtiifu wa Simba.Kwa nini wapewe maelekezo na wizara ambayo ni kinyume na kanuni za ligi na wao wakakubali tu kama mazuzu? Walishindwa nini kumjibu aliyetoa maelekezo kwamba FIFA inakataza serikali kuingilia mambo ya mpira?
 
ina maana kuna wapuuzi walikuwa wanAzindua kitabu either wakataka tuhangaike kufaTIia ujinga wao au walitaka kwenda uwanjaNI kuangalia mechi wakaamua kuahirisha mechi INATIA HASIRA SANA
 
Huyu jamaa ilitkiwa awe ashaandika barua ya kuachia ngazi.

Ametutia aibu sana.
 
KARIA na KASONGO must step out

Wajiuzulu
 
Hahusiki 100% mi ndo nawaambia ngojeni muone,yule msomali kaicheza hii michezo mwenyew
 
Ikulu wana mambo mengi ya kufanya usiwasingizie bhana.

Aliyeahirisha mechi umeoneshwa picha yake na upo uwezekano ni mpango kamili uliosukwa ili kuwapa yanga sababu za kuwakimbia simba
ukitaka uamini amri ilitoka ikulu andika kumlaumu Rais samia kuhusu usenge wa jana dakika tano ianfutwa yaani ni aibu san asikudhani yule mama ana akili za ajabu kama alichofanya jana
 
Ikulu wana mambo mengi ya kufanya usiwasingizie bhana.

Aliyeahirisha mechi umeoneshwa picha yake na upo uwezekano ni mpango kamili uliosukwa ili kuwapa yanga sababu za kuwakimbia simba
siyoo kweli huwezi amini sjiwahi kuwa mshabiki wa magufuli lakini angekuwa hai jana angeshaondoka na vichwa kama huyo mama hana mkono wake mbona kakausha kimya ikulu ndo kwanza anagawa mabenzi na manyumba kwa wastaafu dah huyu mama mwisho wake siuulewi siyo kama tunavyomuona
 
Huyu hata Young Africans hatumtambui
sikuwahi kudhani ninge miss magufuli ndo kwanza muhusika leo anagawa nyumba ya kifahari kwa kikwete na jana jana kagwa benzi la milioni 400 wakahairisgha mechi li tuone UFAHATRI wanaturingishia dah,mtu yuko ikulu kakausha kimyaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…