Picha ya Mwanayanga aliyeitia aibu nchi jana

Hivi jana Yanga walisusia mechi? Kwa hiyo Simba atapewa pointi 3 za dezo na Yanga kushushwa madaraja 2 kama kama kanuni zinavyosema?!

TFF kama hawatotoa point kwa simba itakua ni udhaifu tu kwao, Lakini wanatakiwa wawape
 
sikuwahi kudhani ninge miss magufuli ndo kwanza muhusika leo anagawa nyumba ya kifahari kwa kikwete na jana jana kagwa benzi la milioni 400 wakahairisgha mechi li tuone UFAHATRI wanaturingishia dah,mtu yuko ikulu kakausha kimyaaaaa
Una wivu wa kike
 
Yanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi
Mikia fc mbona kelele nyingi,aliyekimbia uwanja ni nani.
 
mara ya mwisho kumwagiwa maji ya nazi mpalangeni kwako ni lini mkuu?maaana umerithi tabia za marehemu bibi yako aliyekuwa mdangaji maarufu enzi zile
Mbona mmepanik San utopolo.utopolo maana yake ni kitu kilicholegea.Yani mmekimbia kipigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…