Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
ni udhalilishaji ingekuwa mwanae au dada yake kapigwa picha ya hivyo angejisikiaje
Wabongo kwa wivu hamjambo. Dangote na Zari wakionekana sehemu kama hizo mnakuja na masifa ushuzi yenu ooh mtoto mzuri, mara ooh dangote anakula mbunye kali... wakifanya akina wamitego mnakuja na visebengo vyenu kumkandia..
Binafsi huwa simpendi Ney lakini haiwezi kuwa sababu ya kumkandia kwa picha kama hizi wakati najua ni msanii. Bshaka yupo location ana shoot... ajabu nini???? Wabongo kila kitu siasa... mnawaza kimasaburisaburi.