Godz favourite
Member
- Mar 16, 2015
- 75
- 28
Haters hua hatukosi jambo ili kujifariji ili ilietuzidi tumuone wakawaida ukiona unachuki kwa kiwango kama hiki jua umaskini uko mlangoni kwako.
Mawazo mgando ni ugonjwa ambao WHO hawajauweka kwenye orodha ni mbaya kama kansa....BTW no hard feelings.
Haters hua hatukosi jambo ili kujifariji ili ilietuzidi tumuone wakawaida ukiona unachuki kwa kiwango kama hiki jua umaskini uko mlangoni kwako.
Mawazo mgando ni ugonjwa ambao WHO hawajauweka kwenye orodha ni mbaya kama kansa....BTW no hard feelings.
unamaindi nini sasa? wote si mastaa? tena N!xau ni internationally knownHaters hua hatukosi jambo ili kujifariji ili ilietuzidi tumuone wakawaida ukiona unachuki kwa kiwango kama hiki jua umaskini uko mlangoni kwako.
Mawazo mgando ni ugonjwa ambao WHO hawajauweka kwenye orodha ni mbaya kama kansa....BTW no hard feelings.
Mimi naona anafanana na Mr. Nice sana
kama king yan vlevle
wamefanana sana labdw ndo baba yake
Hawajafana hata kidogo
dah hadi raha maana natamani nifananishwe na jaguar wa apocalyppto au jaya bachan