Mark kwa nn unanifanyie hivo lkn?
wajameni mbona mnanijudge ushauri hamnipi? au wote
ni watoto wadogo haya mambo hamjaona katika jamii?
mtu mwenyewe unashindia chai na andazi moja! ndo iwe asubuhi mpaka jioni! mmmh:A S-baby:
weye hujawahi jaribu?
And too young also!!!Am not too smart for this.....
wajameni mbona mnanijudge ushauri hamnipi? au wote
ni watoto wadogo haya mambo hamjaona katika jamii?
bangi bana! mbaya sana...:A S-confused1: