Picha ya Teddy Kalonga

Well angalau yeye hakua ndumi la kuwili...anapenda ndio maana anashea na wenzake!We unajifanya kuponda kumbe unachekelea!Kumtangaza unakua kuwadi wake!Au ndo janja yenu kupata publicity!

Lizzy u mkweli,kama haijakaa njema we umeileta hapa ya nini??? she is good,na anaingiza hela hivyo....you go Teddy....show them and earn your money!!
 
yupo ofisini kwake, mwacheni achape kazi kwa juhudi na maarifa.
Kwa taarifa tk ni born again christian, mwacheni mungu aitwe mungu kwani humpa kila mmoja kwa njia yake.

sijawahi kuongoza kanisa hata moja.....komeni kuupakazia ukristo..."born again"...komeni tena komeni
wokovu ...???????? No no...no...!
nyie ndo mnawapa watoto wama mdogo kauli !
zungumzeni kitu kingine na sio kuhusianisha picha hizo na wokovu wa yesu aliyekufa msalabani...!
ungeweza sema kuwa ameachana na hiyo biashara ya kwenye picha na kuwa born again ningekuelewa
 
Jamani is so true nimesikia from reliable source kuwa ni mlokole and for your info also married woman. Sijui ni maadili gani anafundisha jamii ya kupose uchi in public.
 
Jamani is so true nimesikia from reliable source kuwa ni mlokole and for your info also married woman. Sijui ni maadili gani anafundisha jamii ya kupose uchi in public.

nafikiri ilikuwa kabla hajaokoka:rain:
 
ushaona wapi maneno yakachoma nyumba:wink2:

Sijaona ila nashangaa kuna mtu ananichukia bila sababu angekuwa mwanaume ningesema tunamgombea Nilham kweli kuishi na watu wa humu JF inahitaji moyo wa paka la sivyo unaweza ukanywa sumu.................
 
Sijaona ila nashangaa kuna mtu ananichukia bila sababu angekuwa mwanaume ningesema tunamgombea Nilham kweli kuishi na watu wa humu JF inahitaji moyo wa paka la sivyo unaweza ukanywa sumu.................

Mama nipe radhi kuishi na watu kazi,kila nisemalo wananiona mbaya ila huu wimbo nimeushau mwanangu uzee huu:wink2:
 
Mama nipe radhi kuishi na watu kazi,kila nisemalo wananiona mbaya ila huu wimbo nimeushau mwanangu uzee huu:wink2:

Unajua sisi ni vigumu sana kupiga picha za dizaini hizi unakumbuka sakata la yule binti wa Arusha aliejibadilisha jina na kujiita Nimo Abdilahi badala ya jina lake halisi la Nadia Mohammed ? alishinda miss Kinondoni na kupewa zawadi ya gari lakini familia iliingilia kati na binti akautema mchuma! Matwaghuti Wamechomoka Waislamu - ukumbi

Wenzetu wana uthubutu wa kufotoa still picha na mnato za aina yoyote wewe angalia picha za Nsia Swai, Flaviana Matata au Wema Abraham Sepetu hao kwa baadhi tu lakini list ni ndefu. Wenzetu maadili yao yanaruhusu sisi inabidi uwe kichwa ngumu kwelikweli........................
 
wengi wa wadada wanaoenda ulaya,u.s.a na kwingineko ambao hawana kazi maalum ya kufanya hizi ndo kazi zao
 
enzi za bibi zetu maisha yalipokuwa ya tabu walipika vitumbua na maandazi lakini siku zimebadilika sikuhizi dada zetu wanauza maandazi na "vitumbua" vyengine.......

ha ha ha haaaaaaa mie napita tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…